ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Ilipita wapi ๐๐๐๐๐๐ tuambie lini ilipita ili mm nifunge acc jamii forum1% ilipita kitambo nimekuambia 2030 ikifika kabla konza haijaisha unitag
Ilipita wapi ๐๐๐๐๐๐ tuambie lini ilipita ili mm nifunge acc jamii forum1% ilipita kitambo nimekuambia 2030 ikifika kabla konza haijaisha unitag
Nikutag na 1% of the render haijanusa unakichaa wewe๐๐๐๐1% ilipita kitambo nimekuambia 2030 ikifika kabla konza haijaisha unitag
So you want to lecture me? KQ will not be Nationalized,huko tulitoka na bado yapaa angani,from one continent to anotherWhich resilience?, KQ is becaming headeque to the Goverment, without Nationalization of KQ can't last even for one month, due understand the real meaning of resilience?
Na si nihawa tulichapa final juzi home ground,ama Ni wepi?Hawa wadada huwa wananipa raha mnoo [emoji7][emoji7][emoji7]
Tanzania mabingwa COSAFAWU17 [emoji471]
FT': Zambia [emoji1268] 1-1 [emoji1241] Tanzania
Penati: [3-4]
[emoji1268] - [emoji736][emoji736][emoji736][emoji777][emoji777]
[emoji1241] - [emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji777]
View attachment 1626407View attachment 1626408
Still loss eating u 8 good yrs๐๐๐ + 3 owned aircrafts alaf muko hapa kupanua makalio ๐ ๐ ๐That is how business, profit and loss,, the important thing is resilience,that what KQ is doing,
Wacha mzee route ya SA ni lucrative. Inakaa mkulima hajalipwa!Inategemea pia abiria hakuna kwa south africa na pia ilikua figisu dhidi ya air tanzania manake iliisumbua south african airways
Unalia nini?Na si nihawa tulichapa final juzi home ground,ama Ni wepi?
Kuna kitu nimeona hapo ni siri yangu [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Both Covid-63 & Covid-19 (Corruption virus disease 1963 & Corona Virus disease 2019) all existing in Kenya at its best! ๐๐๐๐Coronavirus itaisha huku?
Alipwe kwa kesi gani wakat south africa alifanya figisu kwa air tanzania manake alianza kuzidiwa nguvu kwa huduma bora za air tanzaniaWacha mzee route ya SA ni lucrative. Inakaa mkulima hajalipwa!
SlumsKuna kitu nimeona hapo ni siri yangu [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Mkuu ni muhimu na lazima alipwe, ni haki yake na tunapoteza mapato mengi kwa kushindwa kumlipa, tutashindwa kwenda routes za Ulaya pia tukiendelea na huu mvutanoAlipwe kwa kesi gani wakat south africa alifanya figisu kwa air tanzania manake alianza kuzidiwa nguvu kwa huduma bora za air tanzania
Huo ndio ujinga wenu wa kufanya biashara za hasara kwa kupenda sifa za kijinga, kila mwaka mnatengeneza hasara kote KQ na SGR, mzigo wote mbawabebesha wananchi wa Kibera kulipia hasara.So you want to lecture me? KQ will not be Nationalized,huko tulitoka na bado yapaa angani,from one continent to another
Kitu gani?Kuna kitu nimeona hapo ni siri yangu [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Kwa hivyo Air Tanzania ambayo hata haisafirishi abiria nje ya bara hili inapea South Africa Airways competition hadi wanaamua kuwakandamiza? Aisee hiyo bangi unayovuta weka chiniAlipwe kwa kesi gani wakat south africa alifanya figisu kwa air tanzania manake alianza kuzidiwa nguvu kwa huduma bora za air tanzania
Tatizo ni kuwa huwa umejifungia huku kwenye Dar vs Nai kama mfungwa. Zunguka katika nyuzi zingine utaona ujenzi wa Konza ulipofikia.Nikutag na 1% of the render haijanusa unakichaa wewe๐๐๐๐
Kwahiyo Mumbai ni Africa.Kwa hivyo Air Tanzania ambayo hata haisafirishi abiria nje ya bara hili inapea South Africa Airways competition hadi wanaamua kuwakandamiza? Aisee hiyo bangi unayovuta weka chini
India, China zote hizo ni Afrika c ndiyo?Kwa hivyo Air Tanzania ambayo hata haisafirishi abiria nje ya bara hili inapea South Africa Airways competition hadi wanaamua kuwakandamiza? Aisee hiyo bangi unayovuta weka chini
Nyie hamfiki UchinaIndia, China zote hizo ni Afrika c ndiyo?