Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,701
- 107,146
Permit tunayo tayari coronavirus ndo imetuzuia!Nyie hamfiki Uchina
Permit tunayo tayari coronavirus ndo imetuzuia!Nyie hamfiki Uchina
Haki gani bro au nyinyi sheria ya ardhi tanzania hamuijui???Mkuu ni muhimu na lazima alipwe, ni haki yake na tunapoteza mapato mengi kwa kushindwa kumlipa, tutashindwa kwenda routes za Ulaya pia tukiendelea na huu mvutano
Ndio maana hua nasema kuongea english sio kuelimika yani ww hata bishara ya airline huijui wewe😂😂😂😂Kwa hivyo Air Tanzania ambayo hata haisafirishi abiria nje ya bara hili inapea South Africa Airways competition hadi wanaamua kuwakandamiza? Aisee hiyo bangi unayovuta weka chini
Sasa nairobi nilikua dec utanieleza nn wewe😂😂😂😂😂 konza haijafika hata asilimia 1% ya render alaf mpuuzi anaongea tu anafkiri wote wageni humuTatizo ni kuwa huwa umejifungia huku kwenye Dar vs Nai kama mfungwa. Zunguka katika nyuzi zingine utaona ujenzi wa Konza ulipofikia.
Yaani kama LAPSSET ambayo less than 10 percent (3 berths out of 32) haijakamilika mwaka wa tisa sasa! 🤣 👆Sasa nairobi nilikua dec utanieleza nn wewe😂😂😂😂😂 konza haijafika hata asilimia 1% ya render alaf mpuuzi anaongea tu anafkiri wote wageni humu
Huelewi impact yake ndege zetu zitakamatwa zitakapoenda nchi zinazoheshimu sheria za kimataifa! Route ya J'burg ilikuwa ina nyomi la kufa mtu!Haki gani bro au nyinyi sheria ya ardhi tanzania hamuijui???
😂😂😂😂 wanajua tayar ishageuka kua white elephantYaani kama LAPSSET ambayo less than 10 percent (3 berths out of 32) haijakamilika mwaka wa tisa sasa! 🤣 👆
Sasa alipwe vp wakat sheria za tanzania hazimruhusu mgeni kumiliki ardhi mbona siwaelewHuwelewi impact yake ndege zetu zitakamatwa zitakapoenda nchi zinazoheshimu sheria za kimataifa! Route ya J'burg ilikuwa ina nyomi la kufa mtu!
Excuse kila wakati. Ndege mnayo ya kuenda Uchina? Tuanzie hapo kwanza.Permit tunayo tayari coronavirus ndo imetuzuia!
Konza haijengwi Nairobi. Ona huyu wazimuSasa nairobi nilikua dec utanieleza nn wewe😂😂😂😂😂 konza haijafika hata asilimia 1% ya render alaf mpuuzi anaongea tu anafkiri wote wageni humu
Kama hujui kitu sema uelezewe. Usilete battle kwa kila kitu. Hii ni asilimia moja? Wavuta bangi wamejaa TanzaniaSasa nairobi nilikua dec utanieleza nn wewe😂😂😂😂😂 konza haijafika hata asilimia 1% ya render alaf mpuuzi anaongea tu anafkiri wote wageni humu
Au project hii? Ila uzinduzi SGR ndo safii kumshika maskio vizuri!
Sidhani kama Magufuli ana akili hizo za kumualika mtu kama huyo awekwe jina lake kwenye jiwe la uzinduzi mzito kama huo, haitotokeaHapo kwenye SGR hafiki ng'ooo atamtuma mwakilishi .
Wakati mwingine huwa una reason km primary school dropout student, kwahyo kwa akili zako unaona dreamliner haiwezi kufika Uchina.Excuse kila wakati. Ndege mnayo ya kuenda Uchina? Tuanzie hapo kwanza.
Dreamliner tayari inakatiza route ya India. Wacha kuwa na akili mgando.Wakati mwingine huwa una reason km primary school dropout student, kwahyo kwa akili zako unaona dreamliner haiwezi kufika Uchina.
Kwahiyo tunayo moja? Na je km inaenda India haiwez kwenda China?Dreamliner tayari inakatiza route ya India. Wacha kuwa na akili mgando.
Kama hujui kitu sema uelezewe. Usilete battle kwa kila kitu. Hii ni asilimia moja? Wavuta bangi wamejaa Tanzania