Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huku Kenya utapata mtu anamiliki hio probox lakini ni C.E.O mzima ana makampuni lakini Tz eti naskia mtu anaendesha Mercedes na jamaa ni broke kutupa[emoji23][emoji23][emoji24].Hao jamaa wa probox usiwadharau utapata wanamiliki magorofa those guyz majority are tycoons
Yaani ukutane na Mzee Bakhressa kwenye probox!? Hata wakinga tu wenye maduka sinza wanatembelea land rover na prado..

Unless useme huko ushago wanakoenda mwisho wa mwaka... Wanafanya na uchawi pia... Probox kwenda nayo... Ni kama kukaa kibanda umiza na zile fomu/benchi za mbao...ila kibanda iwe na matairi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huku Kenya utapata mtu anamiliki hio probox lakini ni C.E.O mzima ana makampuni lakini Tz eti naskia mtu anaendesha Mercedes na jamaa ni broke kutupa😂😂😭.Hao jamaa wa probox usiwadharau utapata wanamiliki magorofa those guyz majority are tycoons
Probox gari ya kimaskini.
 
Huku Kenya utapata mtu anamiliki hio probox lakini ni C.E.O mzima ana makampuni lakini Tz eti naskia mtu anaendesha Mercedes na jamaa ni broke kutupa[emoji23][emoji23][emoji24].Hao jamaa wa probox usiwadharau utapata wanamiliki magorofa those guyz majority are tycoons
Mi nawashangaa hawa majamaa wanaongea vitu wasivyovijua..
Wengi wao sana sana huaga wana wholesales wanazomiliki..
 
Nairobi upper hill
FB_IMG_16045197275082232.jpg
FB_IMG_16045196682820844.jpg
FB_IMG_16045201393039537.jpg
FB_IMG_16045202364210932.jpg
FB_IMG_16045196166273416.jpg
 
Huku Kenya utapata mtu anamiliki hio probox lakini ni C.E.O mzima ana makampuni lakini Tz eti naskia mtu anaendesha Mercedes na jamaa ni broke kutupa[emoji23][emoji23][emoji24].Hao jamaa wa probox usiwadharau utapata wanamiliki magorofa those guyz majority are tycoons
Acha kutuongopea Dada, labda ceos wa kiosk
Probox ni nyingi sana Nairobi [emoji16][emoji16][emoji16]
That's probably the best Majority can afford, unakuta Mwanaume mzima anaendesha probox, nafananisha na mademu huku Bongo wanavyoendesha ist,
 
kwa tanzania mambo ni tofaut vijana wengi wanatoboa hata kama wametoka kwenye maisha ya chini kabisa
Hapa umenoa bro! Mkondo wa uchumi ambao mumechukua kwa sasa condemns the poor to more poverty n the rich to more wealth! Ndio maana masikini wa kutupwa wanaendelea kuongezeka kwa wingi in Tz kwa sasa mnaongoza ukanda huu na SADC, which is a sad thing! Watanzania wengi tu wamevuka border wanaendesha piki piki hapa Nairobi na kwingine, na wengine wamefungua vinyozi na salon ambao nawajua, they tell me themselves making a mininmum of ksh.1000( Tsh 22,000) kwa siku mfululizo in Kenya is easier for them than in Tz, ndio maana wanafanya biashara huku, pia hawkers kutoka kwenu pia wamejazana mbali na omba omba. Hakuna anae wasumbua. So hizi ni fikra zako tu za kizalendo, a feel good argument, kwa ground vitu ni different.😂
Your undoing ni economic path nchi yenu imechukua, it favours walio nayo more than walala hoi! Ndio maana pale Dar low life type residential zimejaza hiyo 1500 km sq by almost 85%!! Wewe hauoni ni balaa!., Tz ingekua na county government system walai mtaongoza Africa, take it to the bank! Most counties will have sufficient resources to run and grow on their own, but kwa sasa mali yote ni ya CCM, they decide whatever they think is "right". Wanafanya mambo makubwa ya kupumbaza raiya tu but with minimal economic impact to common mwananchi, despite all the hulabaloo ya construction poverty levels has remained the same or slightly increased!
 
Acha kutuongopea Dada, labda ceos wa kiosk
Probox ni nyingi sana Nairobi [emoji16][emoji16][emoji16]
That's probably the best Majority can afford, unakuta Mwanaume mzima anaendesha probox, nafananisha na mademu huku Bongo wanavyoendesha ist,
Nyie tunawajua sana kama wewe hapo na mdomo yako kubwa huna chochote ata pikipiki.Nyie maccm tunawajua wazee wa buku saba kusema na kusema tu
 
Back
Top Bottom