na sura yake mbaya..Take it or leave it. Probox ni gari za kishamba.
huu ni ugoro umechanganya na mtindi na ngorotiii yani ni utopolo umeandikaHapa umenoa bro! Mkondo wa uchumi ambao mumechukua kwa sasa condemns the poor to more poverty n the rich to more wealth! Ndio maana masikini wa kutupwa wanaendelea kuongezeka kwa wingi in Tz kwa sasa mnaongoza ukanda huu na SADC, which is a sad thing! Watanzania wengi tu wamevuka border wanaendesha piki piki hapa Nairobi na kwingine, na wengine wamefungua vinyozi na salon ambao nawajua, they tell me themselves making a mininmum of ksh.1000( Tsh 22,000) kwa siku mfululizo in Kenya is easier for them than in Tz, ndio maana wanafanya biashara huku, pia hawkers kutoka kwenu pia wamejazana mbali na omba omba. Hakuna anae wasumbua. So hizi ni fikra zako tu za kizalendo, a feel good argument, kwa ground vitu ni different.😂
Your undoing ni economic path nchi yenu imechukua, it favours walio nayo more than walala hoi! Ndio maana pale Dar low life type residential zimejaza hiyo 1500 km sq by almost 85%!! Wewe hauoni ni balaa!., Tz ingekua na county government system walai mtaongoza Africa, take it to the bank! Most counties will have sufficient resources to run and grow on their own, but kwa sasa mali yote ni ya CCM, they decide whatever they think is "right". Wanafanya mambo makubwa ya kupumbaza raiya tu but with minimal economic impact to common mwananchi, despite all the hulabaloo ya construction poverty levels has remained the same or slightly increased!
Acha ujinga. Probox nayo gari kati ya magari!!?Nyie tunawajua sana kama wewe hapo na mdomo yako kubwa huna chochote ata pikipiki.Nyie maccm tunawajua wazee wa buku saba kusema na kusema tu
Ivi ww mbna unaongea kama hayawani ? Ivi unajua kwa Tz mtu akiwa tu na elfu kumi ana consume more than mtu akiwa na same amount in kenya ww unaongela namba badala ya uhalisia wa dhaman za namba zenyewHapa umenoa bro! Mkondo wa uchumi ambao mumechukua kwa sasa condemns the poor to more poverty n the rich to more wealth! Ndio maana masikini wa kutupwa wanaendelea kuongezeka kwa wingi in Tz kwa sasa mnaongoza ukanda huu na SADC, which is a sad thing! Watanzania wengi tu wamevuka border wanaendesha piki piki hapa Nairobi na kwingine, na wengine wamefungua vinyozi na salon ambao nawajua, they tell me themselves making a mininmum of ksh.1000( Tsh 22,000) kwa siku mfululizo in Kenya is easier for them than in Tz, ndio maana wanafanya biashara huku, pia hawkers kutoka kwenu pia wamejazana mbali na omba omba. Hakuna anae wasumbua. So hizi ni fikra zako tu za kizalendo, a feel good argument, kwa ground vitu ni different.[emoji23]
Your undoing ni economic path nchi yenu imechukua, it favours walio nayo more than walala hoi! Ndio maana pale Dar low life type residential zimejaza hiyo 1500 km sq by almost 85%!! Wewe hauoni ni balaa!., Tz ingekua na county government system walai mtaongoza Africa, take it to the bank! Most counties will have sufficient resources to run and grow on their own, but kwa sasa mali yote ni ya CCM, they decide whatever they think is "right". Wanafanya mambo makubwa ya kupumbaza raiya tu but with minimal economic impact to common mwananchi, despite all the hulabaloo ya construction poverty levels has remained the same or slightly increased!
Curfew inarudi tena😂😂😂korona itaisha kweli huku?
Sikutegemea mtu kama ww kuandika huu upupu😂😂😂😂Hapa umenoa bro! Mkondo wa uchumi ambao mumechukua kwa sasa condemns the poor to more poverty n the rich to more wealth! Ndio maana masikini wa kutupwa wanaendelea kuongezeka kwa wingi in Tz kwa sasa mnaongoza ukanda huu na SADC, which is a sad thing! Watanzania wengi tu wamevuka border wanaendesha piki piki hapa Nairobi na kwingine, na wengine wamefungua vinyozi na salon ambao nawajua, they tell me themselves making a mininmum of ksh.1000( Tsh 22,000) kwa siku mfululizo in Kenya is easier for them than in Tz, ndio maana wanafanya biashara huku, pia hawkers kutoka kwenu pia wamejazana mbali na omba omba. Hakuna anae wasumbua. So hizi ni fikra zako tu za kizalendo, a feel good argument, kwa ground vitu ni different.😂
Your undoing ni economic path nchi yenu imechukua, it favours walio nayo more than walala hoi! Ndio maana pale Dar low life type residential zimejaza hiyo 1500 km sq by almost 85%!! Wewe hauoni ni balaa!., Tz ingekua na county government system walai mtaongoza Africa, take it to the bank! Most counties will have sufficient resources to run and grow on their own, but kwa sasa mali yote ni ya CCM, they decide whatever they think is "right". Wanafanya mambo makubwa ya kupumbaza raiya tu but with minimal economic impact to common mwananchi, despite all the hulabaloo ya construction poverty levels has remained the same or slightly increased!
Hakuna kitu kingine kipya huko Kenya!?
Hii haijakaa vizuri hapa JPM anakosea..
We unajua probox kenya inatoka na ngapi kwanza[emoji23][emoji23]acha uropokaji jombaAcha kutuongopea Dada, labda ceos wa kiosk
Probox ni nyingi sana Nairobi [emoji16][emoji16][emoji16]
That's probably the best Majority can afford, unakuta Mwanaume mzima anaendesha probox, nafananisha na mademu huku Bongo wanavyoendesha ist,
We niwakupuuzwa tu, tangu lini akili za uswazi zikajua umuhimu wa probox..Take it or leave it. Probox ni gari za kishamba.
Hahaaa!!jamaa anaongea kinyama ni km ako na ksh 800k-900k ya kukomboa probox..Nyie tunawajua sana kama wewe hapo na mdomo yako kubwa huna chochote ata pikipiki.Nyie maccm tunawajua wazee wa buku saba kusema na kusema tu
We basi unajua magari[emoji23][emoji23][emoji23]na sura yake mbaya..
Hujawahi kuona gari wewe. Yaani unasifia probox yaani kibanda. 🤣We unajua probox kenya inatoka na ngapi kwanza[emoji23][emoji23]acha uropokaji jomba
[/URL]We niwakupuuzwa tu, tangu lini akili za uswazi zikajua umuhimu wa probox..
Yani unawaona vile vidume wenzako wanaokununulia chipsi kumbe hujui km zile benz payslip ina read "negative"[emoji23][emoji23]
sura panya mwili ka mzinga wa nyuki 😂😂😂Hujawahi kuona gari wewe. Yaani unasifia probox yaani kibanda. 🤣
Namshangaa anapiga kelele mpaka mishipa inaonekana.sura panya mwili ka mzinga wa nyuki 😂😂😂
wakenya majority hawapo classy