nyie [emoji23][emoji23]🤲🏿
Hivi nyinyi ndugu zetu mmetuma hata muwakilishi leo dodoma katika sherehe za kuapishwa mh magufuriNairobi upper hill
Humo ndani mnashindiliwa 20Probox ni gari za biashara, ni ngumu sana kukuta mtu ananua probox kw ajili eti ya kujinadi..
Enheee!!kumbe ni kuona wala sio kumiliki au kuendesha[emoji23][emoji23]Hujawahi kuona gari wewe. Yaani unasifia probox yaani kibanda. [emoji1787]
Yani mnaongea nkm kenya hakuna mabasi na matatu za inter counties na mikoani..Humo ndani mnashindiliwa 20
Tanzania huo upumbavu hamna
Yutong zimejaa tele
Ila moja ni Port lingine ni jengo tu.Hii kitu haijagonga miaka 10 kweli? doh toka 2011! Yaani hili jengo na Lamu port yanashindana! Tony254 njoo ona mshindani wa Lamu port!
Mtoe wapi system ya usafiri uliopo Tanzania? 😅😅😅Yani mnaongea nkm kenya hakuna mabasi na matatu za inter counties na mikoani..
Ila acha nieaachie hapo, gari kali dunia nzima ni VX[emoji23][emoji23]
Unatia aibu. Probox gari ya kubebea mbolea.Enheee!!kumbe ni kuona wala sio kumiliki au kuendesha[emoji23][emoji23]
Ingawaje nakupuuza lkn wacha nikufunze kiasi kilaza..
Kila gari inaundwa kulingana na purpose yake maalum, sasa nakushangaa wewe mnenguaji unaropoka tu..
Ila siwezi kulaumu exposure ndio huna[emoji3][emoji3][emoji3]
Kanengue baba[emoji23][emoji23]Unatia aibu. Probox gari ya kubebea mbolea.
Basi mna service gani za kiofisi kutuliko, tena mabasi yenu yana office na lounge za ki binafsi kweli au mnangoja mpka mpewe terminals za misaadaMtoe wapi system ya usafiri uliopo Tanzania? [emoji28][emoji28][emoji28]
Ninyi wenyewe mnatushangaa kuona tuna bus terminals, kwenu ni maajabu
Ile gari sijui ni nini... I swear it feels like a kibanda on wheels... Na lile bench lake la nyuma kama mko kwenye kikao cha familia ushagooHujawahi kuona gari wewe. Yaani unasifia probox yaani kibanda. [emoji1787]
Probox hazihitaji mbwembwe za terminals 😅😅😅Basi mna service gani za kiofisi kutuliko, tena mabasi yenu yana office na lounge za ki binafsi kweli au mnangoja mpka mpewe terminals za misaada
Najua kizungu huwa inawapiga chenga. It's clearly written the "largest data center for East Africa." That data center has been in operation for many years, probably way long before you knew you'd have something called a data center. Keep to your lanesTembea uone kijana.
Tanzania imekuwa na Data Center kubwa since 2013 nyie ndio mnashituka leo.
Pwahahahaha!!
Soma hapa:
NIDC - SECURED & PROTECTED HORIZON
nidc.co.tz
Umelijuaje hilo benchi km sio mambo yako[emoji23][emoji23]Ile gari sijui ni nini... I swear it feels like a kibanda on wheels... Na lile bench lake la nyuma kama mko kwenye kikao cha familia ushagoo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wenzako wanazitilia hela we endelea kubweka mtandaoni[emoji23][emoji23][emoji23]Probox hazihitaji mbwembwe za terminals [emoji28][emoji28][emoji28]