Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kingine tony sijajua elimu yake lakini ni mtu smart sana na bright pia kwenye ukweli anasema japo kunamuda anaonyesha ukenya wake ningependa watanzania na sisi tuwe hivyo na baadhi ya wakenya wabadilike kuna vitu tanzania tujifunze kupitia Kenya na kuna vitu kenya wajifunze kupitia tanzania
 
Nilipahatika kupita Kenya nikitokea Kongo via kampala to Nairobi to namanga kuna mambo nilijifunza Kenya nanitaeleza kidogo
 
Safari yakutoka Kampala to Nairobi ilianza saa mbili mpaka saa sita kasoro tukaingia border ya malaba wazoefu wanasema tulichelewa kwaajili ya foleni tukafanikiwa kugonga nilikuwa kwenye basis ya falcon tukagonga passport kabla ya kugonga nitaelezea kwanza kisa cha siti na mkenya mmoja ambaye alikuwa ametoka kufunga mzigo kampala
 
Safari yakutoka Kampala to Nairobi ilianza saa mbili mpaka saa sita kasoro tukaingia border ya malaba wazoefu wanasema tulichelewa kwaajili ya foleni tukafanikiwa kugonga nilikuwa kwenye basis ya falcon tukagonga passport kabla ya kugonga nitaelezea kwanza kisa cha siti na mkenya mmoja ambaye alikuwa ametoka kufunga mzigo kampala
Endelea na story
 
Back
Top Bottom