Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uboya anao babako aliyekuzaa wewe schwain wahedi!


GEZA huyu Ansbert Ngurumo hupost video, picha zisizo na uhalisia. Yuko Twitter na blog yake ya Sauti Kubwa.


Mimi nipo Twitter pia na Acc yangu ni: @KipepeComrade.

Hao ni wasambaza propaganda, huwezi chukua video zao kama reference. Wakati wa Corona Walipost video za mji was Ecuador na kusema ni Dar es salaam.
 
GEZA huyu Ansbert Ngurumo hupost video, picha zisizo na uhalisia. Yuko Twitter na blog yake ya Sauti Kubwa.


Mimi nipo Twitter pia na Acc yangu ni: @KipepeComrade.

Hao ni wasambaza propaganda, huwezi chukua video zao kama reference. Wakati wa Corona Walipost video za mji was Ecuador na kusema ni Dar es salaam.
Hii imetokea kweli....Ukweli usemwe...Magufuli anakosea...
 
Hii imetokea kweli....Ukweli usemwe...Magufuli anakosea...
Haina ukweli wowote, hizo karatasi za kura sio zenyewe, hao walishajua watashindwa wakapanga mikakati ya kuleta taharuki kwa kutengeneza kura feki kwa kutumia zile sample specimen za tume wakidai zimeleta na wasimamizi wa vituo.

Hujaona humu JF mapema tu tayari kuna watu walikua wanaposti karatasi za kupiga kura wakionyesha wamemipgia nani wakati kwenye vituo watu hawaruhusiwi kupiga picha, jiulize hiyo movie yao walikua wanafanya wapi.

Kuna kitu kinaitwa "false flag" attacks ndio kama hizo, lengo ni kupoteza legitimacy ya mshindi ili international community ianze kupiga kelele...

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
 
Haina ukweli wowote, hizo karatasi za kura sio zenyewe, hao walishajua watashindwa wakapanga mikakati ya kuleta taharuki kwa kutengeneza kura feki kwa kutumia zile sample specimen za tume wakidai zimeleta na wasimamizi wa vituo.

Hujaona humu JF mapema tu tayari kuna watu walikua wanaposti karatasi za kupiga kura wakionyesha wamemipgia nani wakati kwenye vituo watu hawaruhusiwi kupiga picha, jiulize hiyo movie yao walikua wanafanya wapi.

Kuna kitu kinaitwa "false flag" attacks ndio kama hizo, lengo ni kupoteza legitimacy ya mshindi ili international community ianze kupiga kelele...

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app

YAP!
 
tuseme ukweli... huku bara Magu ni haki yake kushinda.. hata kama wameiba si kwa magap makubwa kama haya.. wananchi tulitaka mtu anaeleza atafanya nn sio mtu mikutano yote anatukana tukana na mwenye kick za uongo uongo .. na huku mtandaon wanapost vitu vya uongo au matukio ya zaid ya miaka mitano nyuma!
kwenye kura za rais hawana haja ya kupinga, si kwa gaps kubwa hiv..
IMG_1603985011.333569.jpg
IMG_1603985033.360319.jpg
IMG_1603985047.667099.jpg
IMG_1603985060.047257.jpg
IMG_1603985073.281081.jpg

IMG_1603985100.996287.jpg

IMG_1603985116.900099.jpg

IMG_1603985131.782649.jpg
 
Leo nimeona jinsi gani wengi wenu mlivyo hamko vizuri kisiasa.

Achana na Siasa kama hmzijui.

Eti JPM anakosea sana!
We ndio unaetaka kuleta usiasa wako hapa, kwn Magu huwa hakosei? Mara ngp anakosea km mwanadamu? Mara ngp analeta uchama kwenye congregation ambazo si za chama? We km unampenda Magu hata cc pia tunampenda na tunamuishi zaidi ya unavyofahamu ila anapokosea tuseme au km cc tunaosema pia tusemwe pale tunapoonekana tumemkosoa kwa kosa ambalo hastahili kusemwa na sio kusema hatuna uelewa wa siasa, huko ni kukoseana heshima.
 
tuseme ukweli... huku bara Magu ni haki yake kushinda.. hata kama wameiba si kwa magap makubwa kama haya.. wananchi tulitaka mtu anaeleza atafanya nn sio mtu mikutano yote anatukana tukana na mwenye kick za uongo uongo .. na huku mtandaon wanapost vitu vya uongo au matukio ya zaid ya miaka mitano nyuma!
kwenye kura za rais hawana haja ya kupinga, si kwa gaps kubwa hiv..
View attachment 1615516View attachment 1615517View attachment 1615518View attachment 1615519View attachment 1615520
View attachment 1615521
View attachment 1615522
View attachment 1615523


Mimi kama kuna Chama huwa kinanishanganza ni act cha Zito Kabwe, huwa wana makelele sana lkn kiuhalisia kwa kuangalia tu matokeo hata Top 3 hakimo, sasa nashindwa kuelewani kwa nini wanapiga kelele sana kwanza hata NRA wako vizuri klk act kama ukifwatilia matokeo, lkn husikii mtu akiongelea kuhusu NRA, ...
 
Mimi kama kuna Chama huwa kinanishanganza ni act cha Zito Kabwe, huwa wana makelele sana lkn kiuhalisia kwa kuangalia tu matokeo hata Top 3 hakimo, sasa nashindwa kuelewani kwa nini wanapiga kelele sana kwanza hata NRA wako vizuri klk act kama ukifwatilia matokeo, lkn husikii mtu akiongelea kuhusu NRA, ...

wanaitwa keyboard warriors! na unakuta hata hawapigi kura! wamejikita mitandaoni kuliko mtaan
 
Wee jamaa vipi, kwani hapo nyuma kama CCM wangetaka kubadilisha Katiba wangeshindwa nini? Idadi ya Wabunge watoshao kubadili Katiba wako nayo siku zote, hii haitakuwa mara ya kwanza CCM kuongoza Bunge, isitoshe mmekaa hapa kujaza mapicha ya Tanzania yetu kuwatambia Wakenya sababu ya Raisi Magufuli, mbona hii forums hamkuianzisha kabla ya utawala wa Magufuli? Mmepata cha kuwatambia Wakenya sababu ya mambo aliyofanya Raisi Magufuli, ...
Umeua
 
Hakuna nguvu kubwa iliyotumika, wapinzani wamekua na sera ya kuvunja sheria iliwakamatwe ionekane wanaonewa hivyo iwape nafasi ya kumobilaiz support toka international community.

I am shocked to see you have terribly failed to observe their silly stratagem.
Wapinzani ni hopeless, I am sorry to say sijawahi kuona faida yao.
 
Hiyo siku waafrica tutaamka usingizini kugundua kuwa democracy ndio inayotudumazia uchumi itakua tushachelewa sana. Ili waafrica tufanikiwe ni lazima tuwe na utawala fulani uvunguni mwa serikali wenye nguvu kuliko anaechaguliwa kwa democracy. Mfano halisi ni USA na UK
Nchi nyingi zilieofanya maendeleo ziliachana na huu upuuzi, democracy ni njia ya kuwadumaza wa Afrika.
 
wananchi ndio walio amua kama ulifatlia hotuba za mgombea wa ccm kilimanjaro &arusha utagundua zilikua game changer za siasa za mikoa hiyo..

wapigakura wengi ni wazee na aknamama vijana waliwasaliti upinzani

pia kumbuka kura hupigwa polling station na sio jf au twitter

watanzania wengi walipiga kura za hasira sabab ya kuhisi mikono ya wazungu upinzani

swala la covd19 na kununulika upinzani.,kususasusa limewaangusha sana upinzani

upinzani kutokua na chakusimamia pia kupondea vilivyofanyika na ccm wakat wananchi wanaona vinamaana kwao

☆vingi vimechangia anguko lao na ni kitu kilkua kinategemewa kama kwa mtu anaejua siasa za tz

speaking of democracy YES tuko vizur
Demokrasia huwepo upinzani wakishinda, wakishindwa no democracy.
 
Magufuli ni binadamu kama binadamu wengine na hufanya makosa pia.

He's not perfect at all, itoshe kusema ameharibu huu uchaguzi 100% kwa tamaa yake ya kushinda kwa kishindo. Haya sasa alitaka Bunge liwe CCM tupu + madiwani amepata, haya tuone Maendeleo sasa.
 
Back
Top Bottom