Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ningependa kuona vipimo vya hilo daraja sidhani kama allowable passage height ni 4.3 m! Na si mnayo na height clearance protection/alert? Sasa kama this truck succeeded to pass underneath, inakuwaje limegonga overpass? kama the underpass met the standards then who cleared the trailer? as seems halijafuata standards!

9-foot-down-to-8-foot-300x225.jpg
Enyewe hio track iliingia aje kwenye bridge? Maana naona imeingia vizuri tu ila imeshindwa kutoka. Kuna uwezekano kuwa contractor kafanya upuzi.
 
Nyie mnaendesha hio nchi vibaya. Ukweli lazima usemwe. Sasa hivi sherekeeni tu ukosefu wa demokrasia ila siku za usoni mtakuja kufahamu kimo cha shimo mliojichimbia.
"Nyie mnaendesha hio nchi vibaya"

Tanzania is the only African nation that has successfully managed to detribalise -- one of the most equal societies, the most peaceful and Corona-free country, whose economy grows at an incredible pace.

None of the above facts can ever be achieved without sound governance.
 
Nikweli kabisa Kama unavyodai...Hii kitu matajili wanaitumia Sana...Inabadili Maisha ya binadamu kwa kiasi kikubwa Sana...Mimi nilipewa Kama mitishamba....Sema Ni vyema uzingatie dozi usizidishe...Kuna ule mmea ambao ukishika majani yake yanajikunja..Mizizi yake ina content nyingi....Ila cha ajabu pia mkonge una content pia...
Ni kweli kujua dozi sahihi ni muhimu sana, haya madude yanaweza kuua mtu kutokana na tabia yake ya kuongeza mapigo ya moyo. Watu wenye matatizo ya moyo, figo na ini wanatakiwa wamshirikishe daktari kwanza.
Mimi Niliitumia ya mkonge...
Hiyo ya mkonge ni san pedro cactus?

Je walichanganya na vitu vingine au ulikunywa maji ya mkonge pekee.

Umeishia katikati .. please.. the floor ..I mean the screen is yours.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tupeane maarifa hapa mkuu.

Psychedelics (ayahausca, mushrooms n.k) zina kemikali zinazopatikana kiasili kutoka kwenye mimea na fungae, ambapo zikiingia mwilini (kwenye ubongo) zina "reset" connections za neurons (seli za ubongo).

Kwa makabila ya watu wa Amazoni (Amerika kusini) ambao wametumia hizi dawa kwa miaka elfu na elfu, wanaamini ukinywa dawa hizi, zinakufanya uwe "in tune with nature".

Watoto (chini ya miaka 5) wanakuwa ni wa kiasili zaidi, wana furaha, wana imagination na hawaamini katika limitations. Dawa hizi zinakurudisha utotoni.

Ubongo wa mtoto unakuwa na network kubwa ya kusafirisha taarifa, ndiyo maana mtoto anaweza kujifunza lugha yoyote ile bila shida na kama akigombana na mwenzie baada ya muda anapotezea. Hii ni kwasababu ubongo wa mtoto hauna njia maalumu ya kupitisha taarifa, njia zote zinaweza kutumika.

Kadri mtoto anavyokua, ubongo unaanza kuwa na uvivu wa kutengeneza njia mpya za kupitisha taarifa, yaani bongo unaanza kutegemea zile njia zinazofahamika. Ndiyo maana kadri mtu anavyokua inakuwa vigumu kuacha tabia zake (mbaya au nzuri).

Psychedelic inachofanya ni kuangali zile njia zinazotumika mara nyingi kupeleka taarifa fulani (mfano hamu ya kutaka kuvuta sigara) na kuziziba. Psychedelics zinaweza kujua hivi kwa kuangalia kiasi cha damu inayopita sehemu hiyo (kulinganisha na sehemu nyingine) na kupunguza ili kiasi hicho kiwe sawa na kwingine.

Kwa kuwa ubongo ni "information superhighway", taarifa lazima ziende kutoka sehemu moja hadi nyingine. Na baada ya sehemu moja kuzuiwa na psychedelics, ubongo hutafuta njia mpya (ambayo zilikuwepo lakini hazitumiki) na kupitisha taarifa hapo. Muda mwingine zile taarifa (hamu ya kuvuta sigara) zikiwashwa zitapitia njia nyingine kabisa na hivyo kuufanya ubongo kuongeza network kuubwa ya kupitisha taarifa na kusababisha mtu kuacha addiction kabisa.

Kwahiyo baada ya kumaliza "trip" (kulewa), ubongo unakuwa "reset" kwa kujenga neuro pathways nyingi. Mtu anakuwa hana tena stress na worries. Na effect ya mimea hii (psychedelics) ni tofauti na ya drugs kama adderall, caffeine au hata cannabidiol (bangi) ambapo baada ya ingredients kuisha mwilini, mtu anarudia hali ile ile aliyokuwa nayo mwanzo.
 
Nyie mnaendesha hio nchi vibaya. Ukweli lazima usemwe. Sasa hivi sherekeeni tu ukosefu wa demokrasia ila siku za usoni mtakuja kufahamu kimo cha shimo mliojichimbia.
wananchi ndio walio amua kama ulifatlia hotuba za mgombea wa ccm kilimanjaro &arusha utagundua zilikua game changer za siasa za mikoa hiyo..

wapigakura wengi ni wazee na aknamama vijana waliwasaliti upinzani

pia kumbuka kura hupigwa polling station na sio jf au twitter

watanzania wengi walipiga kura za hasira sabab ya kuhisi mikono ya wazungu upinzani

swala la covd19 na kununulika upinzani.,kususasusa limewaangusha sana upinzani

upinzani kutokua na chakusimamia pia kupondea vilivyofanyika na ccm wakat wananchi wanaona vinamaana kwao

☆vingi vimechangia anguko lao na ni kitu kilkua kinategemewa kama kwa mtu anaejua siasa za tz

speaking of democracy YES tuko vizur
 
wananchi ndio walio amua kama ulifatlia hotuba za mgombea wa ccm kilimanjaro &arusha utagundua zilikua game changer za siasa za mikoa hiyo..

wapigakura wengi ni wazee na aknamama vijana waliwasaliti upinzani

pia kumbuka kura hupigwa polling station na sio jf au twitter

watanzania wengi walipiga kura za hasira sabab ya kuhisi mikono ya wazungu upinzani

swala la covd19 na kununulika upinzani.,kususasusa limewaangusha sana upinzani

upinzani kutokua na chakusimamia pia kupondea vilivyofanyika na ccm wakat wananchi wanaona vinamaana kwao

☆vingi vimechangia anguko lao na ni kitu kilkua kinategemewa kama kwa mtu anaejua siasa za tz

speaking of democracy YES tuko vizur
ngoja sanctions sasa toka EU and the US!
 
Ni kweli kujua dozi sahihi ni muhimu sana, haya madude yanaweza kuua mtu kutokana na tabia yake ya kuongeza mapigo ya moyo. Watu wenye matatizo ya moyo, figo na ini wanatakiwa wamshirikishe daktari kwanza.

Hiyo ya mkonge ni san pedro cactus?

Je walichanganya na vitu vingine au ulikunywa maji ya mkonge pekee.




Psychedelics (ayahausca, mushrooms n.k) zina kemikali zinazopatikana kiasili kutoka kwenye mimea na fungae, ambapo zikiingia mwilini (kwenye ubongo) zina "reset" connections za neurons (seli za ubongo).

Kwa makabila ya watu wa Amazoni (Amerika kusini) ambao wametumia hizi dawa kwa miaka elfu na elfu, wanaamini ukinywa dawa hizi, zinakufanya uwe "in tune with nature".

Watoto (chini ya miaka 5) wanakuwa ni wa kiasili zaidi, wana furaha, wana imagination na hawaamini katika limitations. Dawa hizi zinakurudisha utotoni.

Ubongo wa mtoto unakuwa na network kubwa ya kusafirisha taarifa, ndiyo maana mtoto anaweza kujifunza lugha yoyote ile bila shida na kama akigombana na mwenzie baada ya muda anapotezea. Hii ni kwasababu ubongo wa mtoto hauna njia maalumu ya kupitisha taarifa, njia zote zinaweza kutumika.

Kadri mtoto anavyokua, ubongo unaanza kuwa na uvivu wa kutengeneza njia mpya za kupitisha taarifa, yaani bongo unaanza kutegemea zile njia zinazofahamika. Ndiyo maana kadri mtu anavyokua inakuwa vigumu kuacha tabia zake (mbaya au nzuri).

Psychedelic inachofanya ni kuangali zile njia zinazotumika mara nyingi kupeleka taarifa fulani (mfano hamu ya kutaka kuvuta sigara) na kuziziba. Psychedelics zinaweza kujua hivi kwa kuangalia kiasi cha damu inayopita sehemu hiyo (kulinganisha na sehemu nyingine) na kupunguza ili kiasi hicho kiwe sawa na kwingine.

Kwa kuwa ubongo ni "information superhighway", taarifa lazima ziende kutoka sehemu moja hadi nyingine. Na baada ya sehemu moja kuzuiwa na psychedelics, ubongo hutafuta njia mpya (ambayo zilikuwepo lakini hazitumiki) na kupitisha taarifa hapo. Muda mwingine zile taarifa (hamu ya kuvuta sigara) zikiwashwa zitapitia njia nyingine kabisa na hivyo kuufanya ubongo kuongeza network kuubwa ya kupitisha taarifa na kusababisha mtu kuacha addiction kabisa.

Kwahiyo baada ya kumaliza "trip" (kulewa), ubongo unakuwa "reset" kwa kujenga neuro pathways nyingi. Mtu anakuwa hana tena stress na worries. Na effect ya mimea hii (psychedelics) ni tofauti na ya drugs kama adderall, caffeine au hata cannabidiol (bangi) ambapo baada ya ingredients kuisha mwilini, mtu anarudia hali ile ile aliyokuwa nayo mwanzo.
Kwa iyo inaweza chukua muda gan mpaka ubongo ku recover I mean process yote
 
Ni kweli kujua dozi sahihi ni muhimu sana, haya madude yanaweza kuua mtu kutokana na tabia yake ya kuongeza mapigo ya moyo. Watu wenye matatizo ya moyo, figo na ini wanatakiwa wamshirikishe daktari kwanza.

Hiyo ya mkonge ni san pedro cactus?

Je walichanganya na vitu vingine au ulikunywa maji ya mkonge pekee.




Psychedelics (ayahausca, mushrooms n.k) zina kemikali zinazopatikana kiasili kutoka kwenye mimea na fungae, ambapo zikiingia mwilini (kwenye ubongo) zina "reset" connections za neurons (seli za ubongo).

Kwa makabila ya watu wa Amazoni (Amerika kusini) ambao wametumia hizi dawa kwa miaka elfu na elfu, wanaamini ukinywa dawa hizi, zinakufanya uwe "in tune with nature".

Watoto (chini ya miaka 5) wanakuwa ni wa kiasili zaidi, wana furaha, wana imagination na hawaamini katika limitations. Dawa hizi zinakurudisha utotoni.

Ubongo wa mtoto unakuwa na network kubwa ya kusafirisha taarifa, ndiyo maana mtoto anaweza kujifunza lugha yoyote ile bila shida na kama akigombana na mwenzie baada ya muda anapotezea. Hii ni kwasababu ubongo wa mtoto hauna njia maalumu ya kupitisha taarifa, njia zote zinaweza kutumika.

Kadri mtoto anavyokua, ubongo unaanza kuwa na uvivu wa kutengeneza njia mpya za kupitisha taarifa, yaani bongo unaanza kutegemea zile njia zinazofahamika. Ndiyo maana kadri mtu anavyokua inakuwa vigumu kuacha tabia zake (mbaya au nzuri).

Psychedelic inachofanya ni kuangali zile njia zinazotumika mara nyingi kupeleka taarifa fulani (mfano hamu ya kutaka kuvuta sigara) na kuziziba. Psychedelics zinaweza kujua hivi kwa kuangalia kiasi cha damu inayopita sehemu hiyo (kulinganisha na sehemu nyingine) na kupunguza ili kiasi hicho kiwe sawa na kwingine.

Kwa kuwa ubongo ni "information superhighway", taarifa lazima ziende kutoka sehemu moja hadi nyingine. Na baada ya sehemu moja kuzuiwa na psychedelics, ubongo hutafuta njia mpya (ambayo zilikuwepo lakini hazitumiki) na kupitisha taarifa hapo. Muda mwingine zile taarifa (hamu ya kuvuta sigara) zikiwashwa zitapitia njia nyingine kabisa na hivyo kuufanya ubongo kuongeza network kuubwa ya kupitisha taarifa na kusababisha mtu kuacha addiction kabisa.

Kwahiyo baada ya kumaliza "trip" (kulewa), ubongo unakuwa "reset" kwa kujenga neuro pathways nyingi. Mtu anakuwa hana tena stress na worries. Na effect ya mimea hii (psychedelics) ni tofauti na ya drugs kama adderall, caffeine au hata cannabidiol (bangi) ambapo baada ya ingredients kuisha mwilini, mtu anarudia hali ile ile aliyokuwa nayo mwanzo.
Mimi walinipa dozi ya kikombe kimoja tu...Walichukua mkonge wakauponda kwa kuwa walitaka niache pombe walichanganya na pombe ( beer) nakuchuja....Mimi aliyenipatia hiyo dozi ni mganga mmoja wa kihaya... Yeye akutaka kuniambia anatumia Mimi...Lakini Kuna Bibi wa Kihaya ambae ndo nimuanzilishi amekuwa akiwafundisha wengine....Mimi niliambiwa na mtu (Dada) anaemjua huyo Bibi wa Kihaya....

Kiukweli kwa hiyo dawa ukinywa Ina surmmarise maisha yako yote toka umezaliwa na kuwa Kama mtoto...Kiufupi nikama in flash ubongo wako....Ni dawa nzuri Sana....
 
Back
Top Bottom