Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio vyema kuconclude kuwa hilo analosema Halima Mdee ni la kweli...hiyo ni SIASA na mwanasiasa anaweza cheza na akili ya mtu ili kupata anacho taka kama Mbowe aliweza sema alikanyagwa kanyagwa miguu ili asishiriki uchaguzi wakati alilewa sembuse hyo ya halima mdee...ndo maana ulimwengu wa sasa kithibitisho kisichokuwa na shaka ndo kinahitajika na sio maneno tu.

Maana hata mm naweza kuamka asubhi nkasema nimeona kula feki zinaingizwa na Jeshi la Jwtz na kama mtu ambaye unaendeshwa na maneno pasipo uthibitisho uta react na kusema ni kweli. Politicians Use lies to Cover the truth don’t trust them easily.

Hata mimi nawashangaa!

Mtu mwenye utimamu na uelewa mpana wa Siasa, akisikia Mwanasiasa kaongea lazima afanyie kazi kauli yake.
 
kilichobaki ni bwana mkuu kubadili katiba maana ana namba Bungeni! Nyie furahieni uminywaji wa demokrasia!

Wee jamaa vipi, kwani hapo nyuma kama CCM wangetaka kubadilisha Katiba wangeshindwa nini? Idadi ya Wabunge watoshao kubadili Katiba wako nayo siku zote, hii haitakuwa mara ya kwanza CCM kuongoza Bunge, isitoshe mmekaa hapa kujaza mapicha ya Tanzania yetu kuwatambia Wakenya sababu ya Raisi Magufuli, mbona hii forums hamkuianzisha kabla ya utawala wa Magufuli? Mmepata cha kuwatambia Wakenya sababu ya mambo aliyofanya Raisi Magufuli, ...
 
Wee jamaa vipi, kwani hapo nyuma kama CCM wangetaka kubadilisha katiba wangeshindwa nini? Idadi ya Wabunge watoshao kubadili Katiba wako nayo siku zote, hii haitakuwa mara ya kwanza CCM kuongoza Bunge, ...
hawakuwa na 3/4 ya wabunge wote!
 
Jamaa ata ajanisalimia ananiambia nimpishe nikapandisha mashetani ya kingengereko nikamwambia kama unataka kukuaa na bibi yako mwambie anyanyuke umpakate nilivyomjibu hivyo hakuongea tena na mm wakabaki wanaongea kilugha
😀 Jamaa una wivu hata kwa usiowajua!
 
utakuja kuniambia kuna sababu ya CCM kutumia nguvu kubwa ya ubabe namna hii kushinda uchaguzi huu!

Hakuna nguvu kubwa iliyotumika, wapinzani wamekua na sera ya kuvunja sheria iliwakamatwe ionekane wanaonewa hivyo iwape nafasi ya kumobilaiz support toka international community.

I am shocked to see you have terribly failed to observe their silly stratagem.
 
Lakini democracy lazima ieshimiwe...Sisi bado Ni nchi changa
Hiyo siku waafrica tutaamka usingizini kugundua kuwa democracy ndio inayotudumazia uchumi itakua tushachelewa sana. Ili waafrica tufanikiwe ni lazima tuwe na utawala fulani uvunguni mwa serikali wenye nguvu kuliko anaechaguliwa kwa democracy. Mfano halisi ni USA na UK
 
Hauhitaji hiyo kubadilisha Katiba, ni theluthi mbili tu, na hiyo CCM wamekuwa nayo na zaidi siku zote kuanzia kuanzishwa kwa vyama vingi, ...

CCM ndio ililazimisha Tanzanians kuwa na mfumo wa vyama vingi bila ridhaa ya Wananchi wa Tanzania.

Tulitakiwa tuwe na rifarandam kuamua vyama vingi ama laa. Ilionekana Watanzania hawataki vyama vingi hivyo hatukua na rifarandam na mfumo ukaletwa.

In short, hatuna vyama vya upinzani Tanzania.
 
Hakuna nguvu kubwa iliyotumika, wapinzani wamekua na sera ya kuvunja sheria iliwakamatwe ionekane wanaonewa hivyo iwape nafasi ya kumobilaiz support toka international community.

I am shocked to see you have terribly failed to observe their silly stratagem.

Kuna majimbo CCM hawawezi kushinda bila ubabe wa kutoa wasimamizi wa upinzani nje na kufanya ballot-box stuffing or vote stashing!
 
Sasa tatizo ni transporter mjinga au mjenzi wa huo bridge Geza? Wacha kuwaonea Wachina. Height ya kila bridge inajulikana. Mbona transporters wengine wa magari hawajawahi kufanya huu ujinga?
Transporter dye mjinga,,this underpass iko muranga county,za Nairobi are higher enough for the truck,but route survey could have been conducted before actual transportation
Clear pictures of the incidence
FB_IMG_16039713434236467.jpg
FB_IMG_16039713368525175.jpg
FB_IMG_16039713313024844.jpg
FB_IMG_16039711533867727.jpg
 
CCM ndio ililazimisha Tanzanians kuwa na mfumo wa vyama vingi bila ridhaa ya Wananchi wa Tanzania.

Tulitakiwa tuwe na rifarandam kuamua vyama vingi ama laa. Ilionekana Watanzania hawataki vyama vingi hivyo hatukua na rifarandam na mfumo ukaletwa.

In short, hatuna vyama vya upinzani Tanzania.

Na mimi nashangaa, shida kubwa ya hawa Upinzani wa Tanzania hawataki kujitathmini na kukubali kwamba kushindwa kwao ni makosa yao pia, Binadamu yoyote aliyepevuka analijua hilo kwamba ukishindwa ina maana kuna mahali unakosea, isitoshe hao Wabunge wanowalilia akina Halima Mdee wamekuwa Wabunge kwa vipindi 2, sasa anataka nini tena? Mbowe amekuwa Mbunge sijui kwa miaka mingapi lkn zaidi ya 10 amekuwa KUB Bungeni kwa miaka 10, amekuwa Mwenyekiti wa chadema kwa karibia miaka 20, leo kashindwa Uchaguzi wanataka Dunia isimame? Kwa nini hawakubali kwamba hata wao wana makosa pia?

Waache waende wapishe damu mpya pia kuongoza, kwangu mimi Halima Mdee hana cha kulalamika amekuwa na muda wa kutosha kujirekebisha, alionywa mara nyingi wanananchi wake wamekuwa wakimlalalmikia muda mrefu sana hakubadilika, sasa bili imekuja, aende tu, ...
 
Wala Tume haina makosa.

Huyo Mdee kawa mbunge kwa miaka mingapi, na ni tume ipi ilimtangaza, ya Kenya?

Kashindwa, akae atulie or ajipange upya.
Nyie mnaendesha hio nchi vibaya. Ukweli lazima usemwe. Sasa hivi sherekeeni tu ukosefu wa demokrasia ila siku za usoni mtakuja kufahamu kimo cha shimo mliojichimbia.
 
Kuna majimbo CCM hawawezi kushinda bila ubabe wa kutoa wasimamizi wa upinzani nje na kufanya ballot-box stuffing or vote stashing!

Unao ushahidi wa kutosheleza kuwa wasimamizi wa upinzani wametolewa nje?

Ukiachia ushahidi wa kauli za wapinzani kama ile video ya Halima Mdee.
 
Back
Top Bottom