Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bado ila nataka siku moja niende kwenye jungle huko Amazon ninywe na indigenous wa huko.
Mimi Nilisha itumia....Inapatikana Tanzania...Niliitumia ilikuweza kuhacha pombe...Nimefanikiwa kuhacha pombe kabisa...It is the best drug I have ever used in my life..
 
Mimi Nilisha itumia....Inapatikana Tanzania...Niliitumia ilikuweza kuhacha pombe...Nimefanikiwa kuhacha pombe kabisa...It is the best drug I have ever used in my life..
Amazing! Sikufahamu kama ipo Tanzania aisee. Inapatikana wapi na ni ya kimila kama kule kwenye misitu ya Amazon?

Nimekuwa nikifanya kautafiti kangu kuhusu mimea na uyoga jinsi inavyoweza kuongeza network za neurons kwenye brain (ubongo unachemka kama wa mtoto mdogo) ili kuchota maarifa yaliyo ndani ya subconscious. Ndipo nilipojifunza kuhusu hizi psychedelics na jinsi zinavyowasaidia watu kuachana na addictions mbalimbali. Pia hata kuweza kupata idea za ajabu ajabu, kama za kina Elon Musk.

Nilipata kamtonyo kuwa watu wengi kwenye hizi tech giants kule silicon valley, wanakunywa maji ya hii mimea/uyoga ili kuongeza maarifa.
 
Kwani viongozi wa tume wameteuliwa na nani....?? Kwa kuwa wa bunge wote wa CCM ngoja tuone kwenye swala la maendeleo...Jua kwa CCM is more at risk than before...
Yaa na mi ndio napenda hiyo risk ili wakizingua wajue hapo watakua against watz tuliowaamini, afu tuone ka watatushinda watz kwapamoja bila kujali uchama
 
Ni kama majibu mengine ni simple tu au naelewaje, kwa wanaozungumzia trains
Screenshot_20201029-110248.jpg
TRAIN.jpg
 
Amazing! Sikufahamu kama ipo Tanzania aisee. Inapatikana wapi na ni ya kimila kama kule kwenye misitu ya Amazon?

Nimekuwa nikifanya kautafiti kangu kuhusu mimea na uyoga jinsi inavyoweza kuongeza network za neurons kwenye brain (ubongo unachemka kama wa mtoto mdogo) ili kuchota maarifa yaliyo ndani ya subconscious. Ndipo nilipojifunza kuhusu hizi psychedelics na jinsi zinavyowasaidia watu kuachana na addictions mbalimbali. Pia hata kuweza kupata idea za ajabu ajabu, kama za kina Elon Musk.

Nilipata kamtonyo kuwa watu wengi kwenye hizi tech giants kule silicon valley, wanakunywa maji ya hii mimea/uyoga ili kuongeza maarifa.
Umeishia katikati .. please.. the floor ..I mean the screen is yours.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Amazing! Sikufahamu kama ipo Tanzania aisee. Inapatikana wapi na ni ya kimila kama kule kwenye misitu ya Amazon?

Nimekuwa nikifanya kautafiti kangu kuhusu mimea na uyoga jinsi inavyoweza kuongeza network za neurons kwenye brain (ubongo unachemka kama wa mtoto mdogo) ili kuchota maarifa yaliyo ndani ya subconscious. Ndipo nilipojifunza kuhusu hizi psychedelics na jinsi zinavyowasaidia watu kuachana na addictions mbalimbali. Pia hata kuweza kupata idea za ajabu ajabu, kama za kina Elon Musk.

Nilipata kamtonyo kuwa watu wengi kwenye hizi tech giants kule silicon valley, wanakunywa maji ya hii mimea/uyoga ili kuongeza maarifa.
Tupeane maarifa hapa mkuu.
 
Amazing! Sikufahamu kama ipo Tanzania aisee. Inapatikana wapi na ni ya kimila kama kule kwenye misitu ya Amazon?

Nimekuwa nikifanya kautafiti kangu kuhusu mimea na uyoga jinsi inavyoweza kuongeza network za neurons kwenye brain (ubongo unachemka kama wa mtoto mdogo) ili kuchota maarifa yaliyo ndani ya subconscious. Ndipo nilipojifunza kuhusu hizi psychedelics na jinsi zinavyowasaidia watu kuachana na addictions mbalimbali. Pia hata kuweza kupata idea za ajabu ajabu, kama za kina Elon Musk.

Nilipata kamtonyo kuwa watu wengi kwenye hizi tech giants kule silicon valley, wanakunywa maji ya hii mimea/uyoga ili kuongeza maarifa.
Nikweli kabisa Kama unavyodai...Hii kitu matajili wanaitumia Sana...Inabadili Maisha ya binadamu kwa kiasi kikubwa Sana...Mimi nilipewa Kama mitishamba....Sema Ni vyema uzingatie dozi usizidishe...Kuna ule mmea ambao ukishika majani yake yanajikunja..Mizizi yake ina content nyingi....Ila cha ajabu pia mkonge una content pia...Mimi Niliitumia ya mkonge...
 
Nikweli kabisa Kama unavyodai...Hii kitu matajili wanaitumia Sana...Inabadili Maisha ya binadamu kwa kiasi kikubwa Sana...Mimi nilipewa Kama mitishamba....Sema Ni vyema uzingatie dozi usizidishe...Kuna ule mmea ambao ukishika majani yake yanajikunja..Mizizi yake ina content nyingi....Ila cha ajabu pia mkonge una content pia...Mimi Niliitumia ya mkonge...
Kwamba mizizi ya hyo mimea ina kazi gani mkuu.
 
Sasa tatizo ni transporter mjinga au mjenzi wa huo bridge Geza? Wacha kuwaonea Wachina. Height ya kila bridge inajulikana. Mbona transporters wengine wa magari hawajawahi kufanya huu ujinga?
ningependa kuona vipimo vya hilo daraja sidhani kama allowable passage height ni 4.3 m! Na si mnayo na height clearance protection/alert? Sasa kama this truck succeeded to pass underneath, inakuwaje limegonga overpass? kama the underpass met the standards then who cleared the trailer? as seems halijafuata standards!

9-foot-down-to-8-foot-300x225.jpg
 
Huwa wakati mwingine anatumia nguvu nyingi pasipo sababu ya msingi, wkt hata wapinzani wanamuelewa japo kwa siri, leo asilimia kubwa ya wapiga kura kutoka upinzani wamechagua wabunge wao na madiwani lkn kura ya urais wamempa yeye kuonesha jinc gn wanamkubali, ss hapo nguvu kubwa ya nn wkt hata hao wabunge na madiwani bado nusu ya wapinzani wamewapa wagombea wa ccm.

Leo nimeona jinsi gani wengi wenu mlivyo hamko vizuri kisiasa.

Achana na Siasa kama hmzijui.

Eti JPM anakosea sana!
 
Back
Top Bottom