Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
We better be slow..and not fast track kama vitu haviko kwenye intrest yetu..alot of investors..wana invest wakitaka super profit na kuinyonya Tz..sasa kama intrest zetu hazijafikiwa so no need ya ku rush..Uganda watakuwa na the biggest GDP ikiwa mtachelewa kucommercialise mafuta au Natural gas yenu. Nyie huwa mnafanya vitu polepole so sitashangaa mkipitwa. Kenya sisi tukipitwa angalau tuna excuse. Tutasema kuwa Mungu hakutubariki na natural resources.
Tuna Gas Off shore bado kuwekewa LNG we have been negotiating over 4 yrs if not 5 na litaendelea kuwa slow ..hadi goverment ione Tz itanufaika
Tulirush miaka ya nyuma kwenye madeal ya madini kama Dhahabu na Tanzanite...ikabidi tuanzw ku renegotiate Magu alivyoingia..maana mataifa including Kenya walikuwa wanatucheka kwa kuliwa..so no longer room for mistakes..
We still have resources tutazobenefit kubwa mbilu ni.
Iron at Liganga
Natural Gas..
Hizo ni sehemu mbili Tz haitaki ikosee tena kwa kunufaisha wawekezaji kuliko wananchi


