Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Mmeshindwa kuweka barabara kwenda Somalia na Sudan kwenye utajiri mkubwa wa mafuta mtaweza kujenga meliKama ni hivyo basi mbona nyie Wabongo hamjachangamkia fursa hio? Niko 100% sure kama Kenya ingekuwa inapakana na sehemu tajiri kama hio tungewatawala hao watu sana. Tungefanya nao biashara kwa wingi tu. Hata tungeunda meli nyingi zamani tu na kutrade na wao. Barabara pia ingetandikwa zamani tu. Sasa nyinyi siwaelewi hata kidogo. Mbona mnazubaa sana?
Rais mzima amebaki kufake kilometres za lami eti mna kilometres 25k wakati ni less than 11k 🚮🚮🚮
Hamuwezi chochote zaidi ya ukabila na ufisadi, Kenya ni hovyo ndio maana hamuwezi kujilisha mnategemea vyakula vya msaada

