Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanini mnakarabati bandari ya Kisumu?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Haikuwa ikitumika kwa takriban miaka ishirini. Kitu chochote kisipotumika kwa muda huo lazima kitaharibika. Majengo yalikuwa yamezeeka na yalihitaji ukarabati. Kulifanywa dredging kwa sababu kina cha maji kwenye port kilikuwa kimepungua. MV Uhuru pia ilifanyiwa ukarabati.
 
Na Msiogope kushindwa pia! By the end of this year FID itatangazwa!
Hii pipeline ndio naweza sema mmetupiga 10-0. Hatuwezi kujibu mapigo. Nilidhani hii pipeline haitajengwa ila dalili zimeanza kuonekana. The best 007 tafadhali usiende kuita Wakenya kwenye comment yangu. soma hii comment bila kupata mshtuko wa moyo.
 
Sidhani kama wapo karibu tena siasa za COVID19 zimeleta uadui! Jaribu kuskiliza speech za JPM zinakandia handshake!
Nadhani Covid ni uhasama kati ya Uhuru na Magufuli. Raila hana wadhifa wowote serikalini.
 
i mean that is his whatsapp status... kuna watu (sio humu) wanapotosha mtandaon kuhusu hio meli na wenye meli.. nikijaribu kuwaweka sawa wanasema mim sijajui hata wahusika
Huyo mwenye meli anajihusisha na shughuli gani kubwa? Curious to know sababu hiyo meli si chini ya billion 250, lazima atakua na mpunga mkubwa sana wa maana.
 
Nadhani Covid ni uhasama kati ya Uhuru na Magufuli. Raila hana wadhifa wowote serikalini.
Sio huyo raila alisema Magufuli anashauriwa vibaya washauri wake wanapotosha kwenye kuongoza Taifa kuhusu Corona?

Yaani kwa lugha nyingine raila alieleza dunia Tanzania inaendeshwa mrama sababu Rais hajui anachofanya, hiyo dharau kubwa sana especially mtu anaropokea BBC.
 
Huyo mwenye meli anajihusisha na shughuli gani kubwa? Curious to know sababu hiyo meli si chini ya billion 250, lazima atakua na mpunga mkubwa sana wa maana.
Wacha kuropoka! Ati nn? Tshs 250bln!? Seriously? Ni cruise ship? Ile meli i give it Tshs30-60 bln! Just like any pontoon ship of that type and since everything was done in DRC the price can even be lower! Ofcourse still a price most of us cant afford! Big up to the owner!
 
Wacha kuropoka! Ati nn? Tshs 250bln!? Seriously? Ni cruise ship? Ile meli i give it Tshs30-60 bln! Just like any pontoon ship of that type and since everything was done in DRC the price can even be lower! Ofcourse still a price most of us cant afford! Big up to the owner!
Hahahaha lakini ile ni kubwa sana kubeba watu 600 na mzigo tani 2500 sio ndogo
 
Wacha kuropoka! Ati nn? Tshs 250bln!? Seriously? Ni cruise ship? Ile meli i give it Tshs30-60 bln! Just like any pontoon ship of that type and since everything was done in DRC the price can even be lower! Ofcourse still a price most of us cant afford! Big up to the owner!
Kwani DR Congo wameanza kuunda meli? Maajabu ya Musa haya.
 
Hii pipeline ndio naweza sema mmetupiga 10-0. Hatuwezi kujibu mapigo. Nilidhani hii pipeline haitajengwa ila dalili zimeanza kuonekana. The best 007 tafadhali usiende kuita Wakenya kwenye comment yangu. soma hii comment bila kupata mshtuko wa moyo.
Kitu ninachofurahia ni kwamba, siku hizi ile mijadala ya chuki na kukwaruzana hapa JF imepungua sana, sasa hivi unaweza kuona jinsi watu wanavyoweza kubadilishana maoni tofauti toka pande zote mbili.

Ni kawaida sana kuona watanzania wakipingana wenyewe kwa wenye kwa kujenga hoja bila kujali kwamba wanatoka nchi moja, hiyo ndio maana ya Uhuru wa mawazo " Independence of thought". Ila inaonekana sio rahisi kwa wakenya kutokana na mazingira ya nchi yao kugubikwa na ukabila na ukanda.


Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom