Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani mtu mmoja ana uzito gani? Give it 100 kg *600 = 60 tons! 60tons +2500 tons =2560 tons! I estimate to be a 3000 tons cargo ship! Kuna ya cargo 3500 tons yaja!
Hiyo meli ni ndogo sana ukilinganisha na MV Mwanza, Hapa kazi tu, labda ni Nusu yake. Hata hiyo bei uliyotoa ya Tsh 60B, pia umewaheshimu, Actually hiyo muundo wake ni kama meli za Azama marine boat

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kitu ninachofurahia ni kwamba, siku hizi ile mijadala ya chuki na kukwaruzana hapa JF imepungua sana, sasa hivi unaweza kuona jinsi watu wanavyoweza kubadilishana maoni tofauti toka pande zote mbili.

Ni kawaida sana kuona watanzania wakipingana wenyewe kwa wenye kwa kujenga hoja bila kujali kwamba wanatoka nchi moja, hiyo ndio maana ya Uhuru wa mawazo " Independence of thought". Ila inaonekana sio rahisi kwa wakenya kutokana na mazingira ya nchi yao kugubikwa na ukabila na ukanda.


Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Ni kweli ni muhimu kupongeza nchi mahali ambapo imefanya vizuri.
 
Ni kweli ni muhimu kupongeza nchi mahali ambapo imefanya vizuri.
Sasa mbona unakua haupo huru kwa kuogopa kuonekana msaliti?, unapaswa uwe huru katika kutoa mawazo yako bila kujali nchi au kabila unalotoka

Kenya bado hamko huru katika hilo, nilishangazwa sana na wajaluo kumshambulia PLO kwasababu alikubali kuwakilisha IEBC katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi uliopita iliyofunguliwa na NASA

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Yetu ni ya diesel. Hakuna train ya diesel sura nzuri. Tukiweka umeme basi treni zetu zitakuwa na sura nzuri.
@Tony254 badili jina Kwanza achana na hizo jina tasa hazijulikani ni jinsia gani kunawana music marekani aliimba wimbo wa "an break my heart" alikuwa anaitwa Tony Braxton Kama sijakosea jina ni demu hilo jina tumesha waachia kina Asha achana nalo komora096 njoo uchukue jina lako huku
 
mwenye meli hii ni mtanzania aliewekeza congo 👇👇👇👇 na ni mtu anaejihusisha zaidi na business ya logistics
80A270B1-4C7C-47D6-8937-72A2F90E1526.jpeg
 
80% ya utajiri wa DRC upo Eastern DRC, kule Kinshasa kazi yao kubwa ni kucheza muziki tu. Lubumbashi, Mbujimayi, Goma, Katanga, Hiyo ndio mikoa yenye utajiri wa DRC.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kama ni hivyo basi mbona nyie Wabongo hamjachangamkia fursa hio? Niko 100% sure kama Kenya ingekuwa inapakana na sehemu tajiri kama hio tungewatawala hao watu sana. Tungefanya nao biashara kwa wingi tu. Hata tungeunda meli nyingi zamani tu na kutrade na wao. Barabara pia ingetandikwa zamani tu. Sasa nyinyi siwaelewi hata kidogo. Mbona mnazubaa sana?
 
@Tony254 badili jina Kwanza achana na hizo jina tasa hazijulikani ni jinsia gani kunawana music marekani aliimba wimbo wa "an break my heart" alikuwa anaitwa Tony Braxton Kama sijakosea jina ni demu hilo jina tumesha waachia kina Asha achana nalo komora096 njoo uchukue jina lako huku
Sasa wewe shoga mbona usiliwe nyuma kwa amani? Mbona unakuja kusumbua watu huku? Huko danguro hakujafunguliwa bado?
 
Kama ni hivyo basi mbona nyie Wabongo hamjachangamkia fursa hio? Niko 100% sure kama Kenya ingekuwa inapakana na sehemu tajiri kama hio tungewatawala hao watu sana. Tungefanya nao biashara kwa wingi tu. Hata tungeunda meli nyingi zamani tu na kutrade na wao. Barabara pia ingetandikwa zamani tu. Sasa nyinyi siwaelewi hata kidogo. Mbona mnazubaa sana?
Ondoa ushamba. Maisha hayaishii leo wala kesho.
Mbona hamjachangamkia mafuta ya Sudan!?

Ondoa ufinyu wa fikra, na kudhani kwamba nyie ni wajanja kupita wengine.
Mlioshindwa hata kuchimba choo.
Mnaletewa msaada na World Vision.
1768550_IMG-20180520-WA0012.jpg
 
Nilidhani DRC ni complete shit-hole. Ni vipi wanaweza kuunda meli?
Nilidhani DRC ni complete shit-hole. Ni vipi wanaweza kuunda meli?
Na hili ndio tatizo lenu kuu, hivi mbona wakenya mnapenda kujiona mpo mbali sana? Kwanini mna dharau wakati ninyi ndio takataka ya mwisho? Kwanini uone nchi nyingine ni shithole from the first place? Yaani kwanini uwe na hiyo mentality kabla ya kuface reality?
 
Back
Top Bottom