Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu mbona tutumie meli wakati tuna barabara fupi inayounganisha Kenya na Uganda? Heri hata ungesema tukarabati reli yetu ya MGR inayofika Kampala hlafu Uganda nao wakarabati upande wao.
kwann isiwe SGR ni kwann SGR mumeitelekeza machakani😂😂😂
 
machinga complex dar👇👇
26083413-463B-408F-A312-6377D97539C5.jpeg
 
Back
Top Bottom