Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂😂😂😂
Halafu hivi vicounty i vidogo sana, ni kama wilaya tu huku kwetu

KenyaCounties.png
 
Na ndiyo nchi pekee iliyoendelea chini ya kivuli cha democracy lkn pia nao democracy iliwachelewesha mno kuwa developed japo uzalendo uliwasaidia sn, ss kwa nchi zetu za kiafrika ni ngumu sana kuendelea chini ya kivuli cha democracy cz hatuna uzalendo kutokana na njaa inayitusumbua.
Ila kuna kitu tunajisahaulisha sana kuhusu democracy ya US, tumesahau wale wanaofanya uamuzi mwishoni na kumpangia raisi ambao wana nguvu ambayo hata hatuijui vizuri. Hii ndio ile maana halisi ya ukiiga tembo akinya utapasuka msamba
 
Unaiongeleaje the US?
Mkuu US ilishaendelea na hata kipindi chao cha democracy wamewaongezea sana muda viongozi waliofanya vizuri, mfano mzuri ni yule aliekaa mpaka akafia madarakani, mwingine ni bush na wengineo ambao hatuwajui
 
Ila kuna kitu tunajisahaulisha sana kuhusu democracy ya US, tumesahau wale wanaofanya uamuzi mwishoni na kumpangia raisi ambao wana nguvu ambayo hata hatuijui vizuri. Hii ndio ile maana halisi ya ukiiga tembo akinya utapasuka msamba
Yah Rais wa Marekani hana mamlaka kivile bali anapangiwa cha kufanya co km huku kwetu Raisi ndiyo kila kitu.
 
Kwa hapa Tanzania ni km democracy haipo cz tunaongozwa na chama kimoja tu tangu uhuru ss ninachoogopa mm ni kwamba pale ccm kuna wanafki wengi sn itakuwa ngumu kumpata kiongozi mwenye maono km huyu so ni bora tuongozwe na huyu huyu tu kwa japo miaka 20 au 30 ndo wengine waje.
Kwanza ukibrainstorm kwa umakini unagundua democracy ni rebellion against the head of state. Sasa kama head of state hafai ni win-win ila kama ni muadilifu ni loss.
Sasa ilitakiwa tupige kura ya ndio au hapana mwaka kabla ya uchaguzi ili kujiridhisha kama tunahitaji uchaguzi awamu husika au lah! So swala la uchaguzi na interval yake vinabaki palepale isipokua tungefanya ushindi wa hapana ndio uinitiate uchaguzi
 
Back
Top Bottom