Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

so tudor kuna nn magorofa au kuna ushuzi hvi ww utamdanganya nani humu ndani sasa marikiti nayo ni sehemu ya maana au ushuzi majumba yote ya udongo marikiti ndio wamachinga wenu wamejazana huko mm huna cha kunidanganya mzee kwa mombasa hii picha inatosha ridhika na majaaliwa hii pichq inatosha sana mpaka hoteli yenu munayoitegemea marina imo ndaniView attachment 1607874
Emu rudia tenamarikiti ina nn na wakati huaga karibia kila weekend utakutana na wabongo kibao wamekuja kufanya shopping ya madera na leso..
We huijui mombasa..

Eti marikiti kumejazana majumba ya udongo hata haya huna hata aibu jibaba lizima..
 
Hahaha blue towers ziko tatu tu Dar? Desperation izo sasa,Mombasa yote ni msasani peninsula pekee can't match even kariakoo and Upanga...Sasa mombasa ni kitu gani
Kariakoo ni nn bwana mdogo
Hata kw old town haingii
20201022_203833.jpg
images.jpeg-37.jpg
 
Emu rudia tenamarikiti ina nn na wakati huaga karibia kila weekend utakutana na wabongo kibao wamekuja kufanya shopping ya madera na leso..
We huijui mombasa..

Eti marikiti kumejazana majumba ya udongo hata haya huna hata aibu jibaba lizima..
nyumba za udongo za miaka 100 iliopita na ina soko chafu kuliko chumba cha mvuta bangi nimerudia
 
Ni sawa na kukuta Toyota hiace inabeba abiria CBD Dar es salaam, kitu kiko outdated unang'ang'ania ndio maana ndege zinaanguka hivyo kenya. Kua updated . Achana na vitu vya zamani
Hata marekani bado ziko on service, au unabisha?
 
Back
Top Bottom