The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Uyooo keshapata bandle ss ngoja uone anavyorukia comment wala hana muda wa kuisoma, wallahi Mungu fundi snUkipata F5 kutoka tz nitag




Uyooo keshapata bandle ss ngoja uone anavyorukia comment wala hana muda wa kuisoma, wallahi Mungu fundi snUkipata F5 kutoka tz nitag




Emu rudia tenaso tudor kuna nn magorofa au kuna ushuzi hvi ww utamdanganya nani humu ndani sasa marikiti nayo ni sehemu ya maanaau ushuzi majumba yote ya udongo marikiti ndio wamachinga wenu wamejazana huko mm huna cha kunidanganya mzee kwa mombasa hii picha inatosha ridhika na majaaliwa
hii pichq inatosha sana mpaka hoteli yenu munayoitegemea marina imo ndaniView attachment 1607874

marikiti ina nn na wakati huaga karibia kila weekend utakutana na wabongo kibao wamekuja kufanya shopping ya madera na leso..

..Hujaona barabara safi na street lights lakini? Ni chuki tu zimekujaa.Uchochoro km kawa
Kariakoo ni nn bwana mdogoHahaha blue towers ziko tatu tu Dar? Desperation izo sasa,Mombasa yote ni msasani peninsula pekee can't match even kariakoo and Upanga...Sasa mombasa ni kitu gani






😂😂😂😂😂😂 Labda sio Kariakoo ninayoijua mimi
Wee nae wacha aibu ndogo ndogo, marikitiEmu rudia tenamarikiti ina nn na wakati huaga karibia kila weekend utakutana na wabongo kibao wamekuja kufanya shopping ya madera na leso..
We huijui mombasa..
Eti marikiti kumejazana majumba ya udongo hata haya huna hata aibu jibaba lizima..


nyumba za udongo za miaka 100 iliopita na ina soko chafu kuliko chumba cha mvuta bangi nimerudiaEmu rudia tenamarikiti ina nn na wakati huaga karibia kila weekend utakutana na wabongo kibao wamekuja kufanya shopping ya madera na leso..
We huijui mombasa..
Eti marikiti kumejazana majumba ya udongo hata haya huna hata aibu jibaba lizima..
Mji wa kale huoLabda sio Kariakoo ninayoijua mimi View attachment 1608914View attachment 1608915View attachment 1608916View attachment 1608922



Rudisha picha za wenyeweWee nae wacha aibu ndogo ndogo, marikitiView attachment 1608924View attachment 1608925View attachment 1608926View attachment 1608927





Asa unaukata nn wkt we una toboRudisha picha za wenyewe
Marikiti kukiwa na nyumba hzo naukata sasa hivi mm![]()




Soko hili apanyumba za udongo za miaka 100 iliopita na ina soko chafu kuliko chumba cha mvuta bangi nimerudia





sisi hua tunazoom kuangalia magofu 😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇
yani huko ukiskia ushuzi wa dunia nzima unapatikana marikiti na mwembe tayari 😂😂😂😂😂😂Wee nae wacha aibu ndogo ndogo, marikitiView attachment 1608924View attachment 1608925View attachment 1608926View attachment 1608927
take one pic then chill budaa😂😂👇👇
Ni sawa na kukuta Toyota hiace inabeba abiria CBD Dar es salaam, kitu kiko outdated unang'ang'ania ndio maana ndege zinaanguka hivyo kenya. Kua updated . Achana na vitu vya zamaniUkipata F5 kutoka tz nitag
Hujakosea kabisa hyo ni old town picha nae jamaa atakua ana mahaba na old town ..yani kavuka bridge ilimradi aichukue yote ila imeshindikana



zHata marekani bado ziko on service, au unabisha?Ni sawa na kukuta Toyota hiace inabeba abiria CBD Dar es salaam, kitu kiko outdated unang'ang'ania ndio maana ndege zinaanguka hivyo kenya. Kua updated . Achana na vitu vya zamani
Wivu mbaya sanayani huko ukiskia ushuzi wa dunia nzima unapatikana marikiti na mwembe tayari![]()









Kwa hiyo unajifananisha na marekani kua mnaweza maintanance hizo outdated product. Mtadondoka sana ndege . Angalia maintanance schedule yao na yenu mko sawa . Acha kujidanganya kenya na marekani ni sawa na kifo na usingiziHata marekani bado ziko on service, au unabisha?