Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yeah Yeah dah nilishasahau Dodoma

Lakini kwa Airtanzania, Bukoba ni lucrative
aawapii mzee at 30,000 PAX bado saana ndo maana route zake ziko linked na Mwanza na Kigoma kwa vile uwanja hauna nyomi la kutosha!

Nshomile inabidi wajititimue igonge hata 100,000 uwanja ule ume-cost zaidi ya $50 mln! Pia Mtwara airport ina PAX wengi per annum zaidi ya Bukoba!
 
aawapii mzee at 30,000 PAX bado saana ndo maana route zake ziko linked na Mwanza na Kigoma! Nshomile inabidi wajititimui igonge hata 100,000 uwanja ule ume-cost zaidi ya $50 mln!
Mwenyewe nashangaa kale kauwanja kamekula pesa ambayo ukiitafuta imetumikaje pale huoni dah

Hii pesa iliotoka unaweza kuitharau lakini ngoja uone timbwili lake.
 
Tunaenda kuwa na airport with international standards

Dar
Dodoma
Kilimanjaro
Zanzibar
Mwanza
Kigoma
Shinyanga
Tabora
Sumbawanga
Bukoba

Watupie jicho na Arusha jamani doh

International airport lazma iwe na uwanja wenye runway ya urefu zaidi ya 2500 m! Hapo Dar, Dodoma (after current extension not sure though if altitude will qualify the runway), Kilimanjaro, Mwanza, Songwe, Mtwara (after current extension), Msalato (from design specifications) na Zanzibar! Hivyo vingine si international according to IATA n ICAO standards! Mfugale kaelezea hivi vingine vitakuwa na urefu gani!

 
International airport lazma iwe na uwanja wenye runway ya urefu zaidi ya 2500 m! Hapo Dar, Dodoma (after current extension), Kilimanjaro, Mwanza, Songwe, Mtwara (after current extension) na Zanzibar! Hivyo vingine si international according to IATA n ICAO standards! Mfugale kaelezea hivi vingine vitakuwa na urefu gani!


Kilometres 1.7 Tabora, Shinyanga almost kilometres 2, Sumbawanga 1.6
 
Arusha Karibu sana na Kia
Labda Waboreshe Jengo
kabisaa, kwa maoni yangu Tanga kunahitaji kiwanja kikubwa (runway 2500 m) haswa kwa ukubwa wa Mkoa na ujio wa bomba la mafuta Waganda watakuwa wanakuja sana Tanga kwa ajili ya shughuli za bandari kutakapokuwa na storage tanks zao na meli za mafuta nyingi! Na pia to an extension Wakongo, Warundi na Wanyarwanda!
 
Back
Top Bottom