komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Unahangaika kumbe



Zoom


Unahangaika kumbe





Bwahahaa!!F5 mpka sasa inauwezo wakudungua hzo ndege zenu..Kwa hiyo unajifananisha na marekani kua mnaweza maintanance hizo outdated product. Mtadondoka sana ndege . Angalia maintanance schedule yao na yenu mko sawa . Acha kujidanganya kenya na marekani ni sawa na kifo na usingizi
Acha kulia bwana mdogo, njoo mombasa utembezwe achana na mitandaoyani huko ukiskia ushuzi wa dunia nzima unapatikana marikiti na mwembe tayari![]()





Ww nilisha kwambia hakuna sehem kenya nzima inaweza tikisa K/koo....sasa km hiki ni kirobo tu
Kwa hiyo kenya mnamiliki F5 ambazo upgraded?Bwahahaa!!F5 mpka sasa inauwezo wakudungua hzo ndege zenu..
Yani hujui km iko na upgrades kibao, au wewe unajua km kuna f5 aina ngapi
Dar es salaam soko
View attachment 1608977
nitembee mara ngapi labda ??😂😂😂Acha kulia bwana mdogo, njoo mombasa utembezwe achana na mitandao
Eti marikiti kuna nyumba za nn vile![]()
Duuuh kumbe naivasha nayo ni slum??!
Wivu mbaya sana
Vlog ya marikiti hyo hapo chini...
Utaambia nn watu jicho boy
View attachment 1608955View attachment 1608956View attachment 1608957View attachment 1608958View attachment 1608959View attachment 1608960
kenya nzima ni slum 😀😀😀Duuuh kumbe naivasha nayo ni slum??!
Slum sio rusting jombaa,hizo picha za morogoro unaona kabisa nyumba zimepangiliwa, shida iko tu kwenye bati yame-rust,unaona kabisa roads,unaona kabisa social service kama vile stima...then angalia picha ya mwisho uliopost ya kibera duh..hivi hukwenda shule hadi usijue nini maana ya slum..Lol .... i am just seeing names. Ndio hii hapa Kibera yenye unapenda sana. You can clearly see where it starts and where it ends.
Now compare to Morogoro where you cannot even tell which part is a slum and which part is the CBD..... yaaani all districts co exist!!!
View attachment 1608012View attachment 1608013View attachment 1608014
Ww unampenda sn ichoboy na nishamwambia akukaushie cz Wakenya hamuaminiki ucje muharibu mTz mwenzetu buree, so we jitekenye ukichoka Wakenya wenzio watakula mzigo hutapata mTz piga uaAcha kulia bwana mdogo, njoo mombasa utembezwe achana na mitandao
Eti marikiti kuna nyumba za nn vile![]()


