Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Really now? Bus stage of all the things? I don't understand your obsessions with bus stops. If i was in a position to influence government policy and plans, bus stage will be the last thing on my agenda.
Think big brother,how many jobs have been created to these citizens plus investment opportunities...Kodi. Kuna kitu kinaitwa miradi ya kimkakati bro tumesambaza nchi nzima.
 
Hahahaha mbona hayo yalikuwa mambo ya kawaida awamu ya 4 😅😅😅

Mtu ulikua unaweza kuamka asubuhi ukaamua chochote ulichoota usiku kiwe 😀
🤷‍♂️ aisee nina uhakika matumizi ya Uwanja wa Bukoba hata nusu ya capacity yake hayajafika! Ngoja nicheki nondo!

Uwanja una capacity ya 500,000 PAX per annum na nina amini haujafika abiria 150,000 kwa mwaka mpaka sasa kwa mwaka! Actually so far less than 40,000 PAX per year!
 
china-wuhan-coronavirus-maps-promo-1601396059552-videoSixteenByNineJumbo1600-v98.png



Covid World Map: Tracking the Global Outbreak
 
Dah ila huyu mzee anajenga hii nchi jamani doh
We acha tu, unajua katiba ya Tz co nzr km utapata rais chizi mana rais wa Tz ana mamlaka makubwa mno ila ukimpata rais bora basi hii katiba ni nzr sn cz yeye ndio kila kitu hakuna cha wabunge wala ushuzi wa wabunge, unajua Afrika bado kuna njaa so watu wanakuwa wanafki kutokana na njaa hvyo katiba km hii ya kwetu ni nzr sn hasa kwa kipindi hk but akitoka huyu mzee tunamuomba ahakikishe anatubadilishia hii katiba cz ukweli ni kwamba hatuwezi kumpata km huyu kwa miaka mingi ijayo.
 
We acha tu, unajua katiba ya Tz co nzr km utapata rais chizi mana rais wa Tz ana mamlaka makubwa mno ila ukimpata rais bora basi hii katiba ni nzr sn cz yeye ndio kila kitu hakuna cha wabunge wala ushuzi wa wabunge, unajua Afrika bado kuna njaa so watu wanakuwa wanafki kutokana na njaa hvyo katiba km hii ya kwetu ni nzr sn hasa kwa kipindi hk but akitoka huyu mzee tunamuomba ahakikishe anatubadilishia hii katiba cz ukweli ni kwamba hatuwezi kumpata km huyu kwa miaka mingi ijayo.
Jiandae kwa Majaliwa
 
Back
Top Bottom