Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo nnayemuonea huruma ni Teargass mana huwa hapendi kukubali inafikia kipindi huwa analia kabisa anapoona kenya imepitwa, mfano juzi alilia humu baada ya kugundua ukweli kwamba jeshi letu linatumia helicopters ambazo zinatumiwa na jeshi la Marekani
Nilimuwekea hiki chuma eti akasema nimeiba picha ya ulaya nikaedit
tapatalk_1602880112843.jpeg
 
Why? We need speed zaidi ya 160 kmph. Walisema tutakua fasta zaidi ya Morocco na Morocco ni zaidi ya 160kmph.
Reli ya Moroco ina design ya speed ya zaidi ya 300kph yetu design ya ni 160kph...Huwezi kuweka train ya zaidi ya 170kph....kwetu..
 
Back
Top Bottom