Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

TRC wamejua kuficha siri, hatimae ni south korea ndo wataleta trains
View attachment 1604421
dah nataman tupate idea za treni zenyewe 😎😎😎 nahisi ni hyundai mayb ndio wameshinda

nimejaribu kusoma kumbe hyundai ina branch ya kutengeza high speed electric trains in turkey also
29EA8C1D-7920-4EE6-85DC-D2DF659EBA39.jpeg

2633F72B-D5A0-4EA2-844E-E68B2767AB85.jpeg
 
Tatizo Afrika bado ina wajinga wengi yn mtu anashindwa kabisa nchi inaelekea wapi kwa ss anakuambia anataka maendeleo ya watu (msemo wa kisiasa), uliwahi kuona wapi kuna maendeleo ya watu pasipo vitu?

Waafrika wanapenda siasa mno wanapenda waongopewe cku zote na co uwaambie uhalisia, wanataka wakiamka tu waone reli ya umeme, madaraja kila mahali, ajira kedekede, lami kote, hospitali n.k lkn hawataki kuzipitia hzo njia mpk kufika hapo.

Hivi we utakuwa mtu gn mpk usielewe kitu gn kinaendelea kwa sasa? Ushawahi jiuliza km bwawa la umeme litaisha itakuwaje? Sgr ikiisha itakuwaje? Mabarabara yote yakiisha itakuwaje? Wanabaki kuwasikiliza wanasiasa eti nitawajaza pesa mifukoni nitawapeni ubwabwa yn waafrika ni hatari sana.

Lakini cha kufurahisha ni kwamba kwa hapa kwetu Tanzania hakuna mpuuzi yyte atakaye badilisha upepo serikali ikisema tunaenda hv wananchi lazima watii na ikitokea tumepata kiongozi bora km huyu basi maendeleo ni fasta km unavyoona.
Siku zote binaadamu anatakiwa kuwa makni sana na mtu anaekuambia vitu unavyotaka kuvisikia na kuvipata kirahisi maana hiyo ni formula ya matapeli
 
Back
Top Bottom