ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
dah nataman tupate idea za treni zenyewe 😎😎😎 nahisi ni hyundai mayb ndio wameshinda
nimejaribu kusoma kumbe hyundai ina branch ya kutengeza high speed electric trains in turkey also
dah nataman tupate idea za treni zenyewe 😎😎😎 nahisi ni hyundai mayb ndio wameshinda
Vs Public Transport in Nairobi, The banana republic of the Failed state of Kunyaland
View attachment 1604347View attachment 1604348View attachment 1604350View attachment 1604352View attachment 1604354



Siku zote binaadamu anatakiwa kuwa makni sana na mtu anaekuambia vitu unavyotaka kuvisikia na kuvipata kirahisi maana hiyo ni formula ya matapeliTatizo Afrika bado ina wajinga wengi yn mtu anashindwa kabisa nchi inaelekea wapi kwa ss anakuambia anataka maendeleo ya watu (msemo wa kisiasa), uliwahi kuona wapi kuna maendeleo ya watu pasipo vitu?
Waafrika wanapenda siasa mno wanapenda waongopewe cku zote na co uwaambie uhalisia, wanataka wakiamka tu waone reli ya umeme, madaraja kila mahali, ajira kedekede, lami kote, hospitali n.k lkn hawataki kuzipitia hzo njia mpk kufika hapo.
Hivi we utakuwa mtu gn mpk usielewe kitu gn kinaendelea kwa sasa? Ushawahi jiuliza km bwawa la umeme litaisha itakuwaje? Sgr ikiisha itakuwaje? Mabarabara yote yakiisha itakuwaje? Wanabaki kuwasikiliza wanasiasa eti nitawajaza pesa mifukoni nitawapeni ubwabwa yn waafrika ni hatari sana.
Lakini cha kufurahisha ni kwamba kwa hapa kwetu Tanzania hakuna mpuuzi yyte atakaye badilisha upepo serikali ikisema tunaenda hv wananchi lazima watii na ikitokea tumepata kiongozi bora km huyu basi maendeleo ni fasta km unavyoona.
Huwa mnasema hv hv ila kwenye finishing mnapoteanaHio morogoro station ni ya kiuzee sana,the fucking design have ever seen,takataka tu




Muhimu sana kujua mapema tuchape watu humu, ila me nilizipenda zile staddler cjui kwnn aiseehaya tuingie chimbo tujue trains gan hizo zitaletwa![]()



Mind u, Magu ni tozi hawezi kutuletea mitungi ya gesi kuharibu reli yetu lazima aoneshe kwa vitendo kwmb Tz inawezahaya tuingie chimbo tujue trains gan hizo zitaletwa![]()





unakumbuka hii maneno tulishawahi discuss nikasema Korail hawafanyi consultancy burebure!
😀 Wakenya wanachukulia poa sana product za watu ndio maana wanajishebedua eti matatu ni culture yaowhat's so natural about tyres?
unakumbuka hii maneno tulishawahi discuss nikasema Korail hawafanyi consultancy burebure!
![]()
The reason to why Tanzania SGR will be having a bullet train at 160km/hr..Proved by China TV...
namuona Jirani akivaa chupi kichwani!Yap! sema mipini yao karibia yote ni Vitasa bellow the belt.
Sio kwamba hawa ni just suppliers rather than manufacturers? Still nadhani itakua product ya bombardierhaya tuingie chimbo tujue trains gan hizo zitaletwa![]()
Wenyewe wanaiita ShinkansenI posted hii long ago "Hyundai Rotem"
View attachment 1604443
Yaani hii ndio habari ya MUJINI.
kitambo nimepost hiii.



Ila naona kama hii ndo more realisticYap! sema mipini yao karibia yote ni Vitasa bellow the belt.
😀 sipati picha namna lufufu angewekwa amuelezee "Kale kajambaka nako kakapanga kuingiza magendo, bwana madevu akamuonya: wewe utayongwa na hakuna mtu atakuja kukusaidia. Kakaenda zake stand ya moshi kuuza karanga"Ungemuuliza mambo ya sukari yanatuhusu Nini sisi...Alafu kumbe professional yake ni wizi...







Wasituletee hii mipanzi, kitu joka mzee litambae kama linawinda kweny nyasiIla naona kama hii ndo more realistic
![]()
au hii
![]()
Au hii
![]()
Hamna kitu kuna kitu kinaitwa kufanya tour kabla ya ku-place orders! Mkorea yupo bomba zaidi! na JPM anawazimia wakorea kinoma kuanzia ujenzi wa meli, madaraja mpaka treni !
Mipanzi kivipi wakati hiyo ni latest version! wacha kuropokaWasituletee hii mipanzi, kitu joka mzee litambae kama linawinda kweny nyasi