Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeniona humu ndani leo...?? Au unazani Mimi jobless Kama wewe unae shinda JF muda wa kazi...Alafu unapotea usiku..??🤣🤣🤣
Najua mchana ulikuwa unawinda albino wakati mimi usiku huwa nalala. Hivi nikulizee, huwa unataka nikeshe hapa usiku nikifanya nini? 🤣 🤣 🤣
 
Na hapa waki update hii itakuwa ni aibu kubwa cz Tz inaongoza Afrika kwa ss ku electrify rural areas, yn mtake ndo hvyo mctake ndo hvyo.
You are so stupid to even imagine that there exists only one image of night satellite map on the internet for Africa or East Africa! There are thousands if not millions of such images lazy bitch. This is one of them and it's the same one I zoomed for you and your ilk.
2016
Screenshot_2020-10-16 Stanford researchers use dark of night and machine learning to shed ligh...png

Stanford researchers use dark of night and machine learning to shed light on global poverty
 
Mwingine anasema ati Ethiopia haiko East Africa because they are not a member of EAC. Hawajui kwanza hiyo Ethiopia pekee ndio stress ya Kenya in this region, yani development ya hao watu inatisha.
Ethiopia: East Africa’s Emerging Giant
Nani aliyekuambia kuwa ethiopia ipo EAC,tangu lini!??..halafu we jamaa ni kilaza sana,ethiopia ipo eastern of africa geographically lakini haipo EAC,EAC ni community ambayo hata mtu wa north anaweza ku-join

Unashindwa kuelewa vitu vidogo kama hivi,utaelewa nini jamaa???
 
Nataka tusonge tu pole pole. Tuanze na hizi na uniambie ziko ngapi.
View attachment 1602485
Hii taarifa ina kila kitu kuhusu fighter jets za Tanzania, ila hizo Helcopters aina ya Airbus zilikua bado hazijanunuliwa.

Tafadhali weka taarifa kama hii yenye kuonyesha idadi ya Fighter jets za KDF, zikifika saba ninafunga akaunti yangu, hutoniona tena hapa.
African Aerospace - The rise and rise of Tanzania's Air Force

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom