The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Wao ndio wamwchanganyikiwa, warudishieni hyo link
Wakiulizwa 6000km wamezitoa watajibu nn




Umeona jinc serikali yenu inavyowachanganya kiasi kwamba hata nyie wenyewe hamjui exact figure.
Wao ndio wamwchanganyikiwa, warudishieni hyo link
Wakiulizwa 6000km wamezitoa watajibu nn




Umeona jinc serikali yenu inavyowachanganya kiasi kwamba hata nyie wenyewe hamjui exact figure.
Yani sai naona una quote ilimradi na wewe uonekane upo...
Mumeanza kupinga kauli ya waziri tena jamaniHyo ni rural areas kijana wacha kujifanya hamnazo so unataka kutuaminisha kwamba even Uganda ametuzd au co? And if so why is thisView attachment 1602410
Kuna mkenya kawahi kusema hvyo hata mm nilishangaa ila nikakausha tu nashukuru Geza Ulole kuweka sawa hilo.Nionyeshe ni wapi nilisena kuwa geothermal energy sio thermal energy.
Weeiiiishhhh Eurocopter H225 brand new, yn hapo unapata ma used KDF helicopters 50Scrap. Hizi ni ndege za polisi huku Kenya. Uhuru hawezitumia uchafu kama hii.















Weeiiiishhhh Eurocopter H225 brand new, yn hapo unapata ma used KDF helicopters 10View attachment 1602412


kukosa hayo maandishi kuna mtu angesema rudisha ndege ya Pompeo 

MD530 inaidungua kw sekunde hyoWeeiiiishhhh Eurocopter H225 brand new, yn hapo unapata ma used KDF helicopters 10View attachment 1602412
Hatuongelei kudungua tunaongelea quality ya vitu vyetu Tz hata ninyi Wakenya mnaona kwmb kwenye quality tumewaacha mbali imagine Teargass kapost mauchafu yake ila me nmeweka moja tu wala cjaingia TPDF kwenye madude yao jamaa chaliiMD530 inaidungua kw sekunde hyo



Kwani hii helicopter moja ndio mnakuanga nayo Tanzania nzima? Nowonder Diamond and Magufuli wanakuja kukodi ndege za Kenya.Weeiiiishhhh Eurocopter H225 brand new, yn hapo unapata ma used KDF helicopters 50View attachment 1602412
Nimeona niongeze kdg idadi mana kiukweli kabisa 10 ndg kwa thamani ya hilo dude.![]()
Najua uneumia nmekupa brand new mbili, moja ina nylon zake moja ipo hewani km kitu cha Pompeo haina masikitikoKwani hii helicopter moja ndio mnakuanga nayo Tanzania nzima? Nowonder Diamond and Magufuli wanakuja kukodi ndege za Kenya.





Sasa wapi kitu quality hapo? Kwanza ni ndege ni moja tu.Hatuongelei kudungua tunaongelea quality ya vitu vyetu Tz hata ninyi Wakenya mnaona kwmb kwenye quality tumewaacha mbali imagine Teargass kapost mauchafu yake ila me nmeweka moja tu wala cjaingia TPDF kwenye madude yao jamaa chalii![]()
Asante kwa kubali mko na mbili sasa 🤣 🤣 🤣 . Hapa unaona ngapi?Najua uneumia nmekupa brand new mbili, moja ina nylon zake moja ipo hewani km kitu cha Pompeo haina masikitiko![]()
Helicopter za kunyunyuzia dawa kwenye mashamba ndo unauliza tunaona ngapi...??🤣🤣🤣Asante kwa kubali mko na mbili sasa 🤣 🤣 🤣 . Hapa unaona ngapi?
View attachment 1602419
Nimekuambia hiyo ndege yenye umepost polisi ndio wanatumia huku Kenya.Hatuongelei kudungua tunaongelea quality ya vitu vyetu Tz hata ninyi Wakenya mnaona kwmb kwenye quality tumewaacha mbali imagine Teargass kapost mauchafu yake ila me nmeweka moja tu wala cjaingia TPDF kwenye madude yao jamaa chalii![]()
Naona leo mmekubali hizo ni ndege za Kenya 🤣 🤣 🤣 By the way mbona mlikuwa mnapinga hizo ndege sio za Kenya?Helicopter za kunyunyuzia dawa kwenye mashamba ndo unauliza tunaona ngapi...??🤣🤣🤣
Hilo c ndo hili hapa lilishawaua hao polisi woteeNimekuambia hiyo ndege yenye umepost polisi ndio wanatumia huku Kenya.
View attachment 1602436





😂😂😂😂😂 usihofu bossKwn hakujui uyo jeuri tu, ila akirudi usinsahau kiongozi![]()
Umeniona humu ndani leo...?? Au unazani Mimi jobless Kama wewe unae shinda JF muda wa kazi...Alafu unapotea usiku..??🤣🤣🤣Naona leo mmekubali hizo ni ndege za Kenya 🤣 🤣 🤣 By the way mbona mlikuwa mnapinga hizo ndege sio za Kenya?
Unadhani Kenya police wako na ndege moja kama jeshi la Tanzania? Ndege enye ilianguka sio hile enye nilipost..





