Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivyo ndivyo mlifundishwa shuleni? Kwamba Ethiopia haiko East Africa geographically? It's not about muono, it's about facts. Facts that will never change. Facts that have been cemented and documented in history books. If Ethiopia is not in East Africa, then is it in West Africa, North Africa or southern Africa? Vilaza wa Tanzania mko wengi
Mwingine anasema ati Ethiopia haiko East Africa because they are not a member of EAC. Hawajui kwanza hiyo Ethiopia pekee ndio stress ya Kenya in this region, yani development ya hao watu inatisha.
Ethiopia: East Africa’s Emerging Giant
 
Nyinyi ambao mko na bodies kumi mbona haijawasaidia kuwa na uchumi kubwa kushinda sisi wenye tuko na body moja?
Ni kweli mmetuxhinda huku
tapatalk_1575841720135.jpeg
 
Mwingine anasema ati Ethiopia haiko East Africa because they are not a member of EAC. Hawajui kwanza hiyo Ethiopia pekee ndio stress ya Kenya in this region, yani development ya hao watu inatisha.
Ethiopia: East Africa’s Emerging Giant
Ss nyie Ethiopia mtaiwezea wapi au ndo kisa cooked GDP, Ethiopia kuna treni ya umeme, good electricity infrastructure, trams n.k yn hao tunaendana na cc Wala co nyie.
 
Ss nyie Ethiopia mtaiwezea wapi au ndo kisa cooked GDP, Ethiopia kuna treni ya umeme, good electricity infrastructure, trams n.k yn hao tunaendana na cc Wala co nyie.
Mko na nini ya kucompare na Ethiopia? Ebu tuanzie hapo.
 
Ss nyie Ethiopia mtaiwezea wapi au ndo kisa cooked GDP, Ethiopia kuna treni ya umeme, good electricity infrastructure, trams n.k yn hao tunaendana na cc Wala co nyie.
Ila mkuu Ethiopia ni nchi ya hovyo sana kisiasa na ukabila kwasasa, nafuu hata Kenya, hivi nisemavyo wakati wowote Abiy Ahamed anaweza kupinduliwa au kujiuzulu.

Ndani ya miaka miwili Eneo la Tigray litajitenga na kuwa nchi kamili, au kutatokea vita mbaya sana kama watalazishwa kuendelea kubaki kuwa sehemu ya Ethiopia.

Kabila la Oromo nalo lipo njiani kupata Uhuru wake kuwa nchi kamili. Kama ilivyosambaratika USSR ndivyo inavyosambaratika Ethiopia, ukabila umepitiliza Ethiopia
 
Mko na nini ya kucompare na Ethiopia? Ebu tuanzie hapo.
Huo ni ujunga usiweza kuzungumzwa humu, nakwambia nyie hamna uwezo wa kujifananisha na Ethiopia kivyote ukiacha cooked GDP lkn ukija on ground hamuwawez kwnz c ni jeshi lenu huwa linapigwa vidole kila siku na jeshi la Ethiopia au co nyie.
 
BRT, best Airport, Electric railway, Nyerere dam, Three levels interchange, Economic Growth rate 7%.
Tunafanana sana na Ethiopia
Hata hujui unachoongelea.
1. Ethiopia hawana BRT ndio wanajenga yao ya kwanza.
2. Bole Airport 10 million passengers in 2019, JKIA 8.3 million in 2019 and JNIA ni 1.5 million in 2019.
3. Ebu tuonyeshe hizo electric train tuzione.
4. Ethiopia hawana 3-level interchange. Nairobi ilikuwa nayo 10 years before mjenge yenu.
5. Tanzania Economic growth is 2% According to IMF
 
Mwingine anasema ati Ethiopia haiko East Africa because they are not a member of EAC. Hawajui kwanza hiyo Ethiopia pekee ndio stress ya Kenya in this region, yani development ya hao watu inatisha.
Ethiopia: East Africa’s Emerging Giant

Kuna utofauti mkubwa sana kati ya east Afrika na eastern Afrika. The first one is specific, the other is general geopolitics.
 
Back
Top Bottom