Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii inshu ya umeme sijui kwanini inakua ngumu kuelewa.
Hii article inasema watumiaji wa umeme wa Rea, narudia tena watumiaji wa umeme wa RURAL ENEGY AGENCY, ndio wameongezeka kutoka 1mil+ to 2mil+ kumbuka hii ni kwa umeme wa rural pekee ambao hata mji mdogo kama wa mpanda haupo hapo sasa ukifanya percent ya household electricity consuption ya rural ambayo kwa sass ni 74% sawa na household 2.7mil ukijumlisha na urban electricity supply ambayo ni 94% sawa na household 5.87mil users unapata nchi nzima ya tanzania ina 84% electric supply to users.

Na hii evidence ni sisi wenyewe mtu ataje ni kijiji gani mwaka huu 2020 ameenda hakuna umeme? Obvious mimi kila kijiji nachotembea watu wana umeme. Na consumption ya tz kukijengwa biwanda itakua kubwa sana kwasababu saivi ni karibu kila raia anaishi kwenye umeme mpka 2023 nadhani tutakua 95%+ ndo mana serikali inaongeza vyanzo vya kufua umeme..

Ivi kwa akili yenu kweli 2.7 mli house hold Tanzania kweeeli?????
Sio rwanda au burundi hapana nitanzania ambayo ina mji mmja una watu 6+m
Mwanza kwa sasa 2.5m+ na miji mingine mingi inazaid ya 1mil populn afu wawe nq watumiaji wa umeme 2.7m chini ya UGANDa. Mh!!!!!
Umechambua vzr na wamekuelewa, na ss ndo nimefahamu kwmb tuko mbali kwenye sekta ya electric connectivity tumegonga 7.87mil wakati Teargass anasema kenya wapo kwny 6mil nchi nzima
 
Kenya haizijui hzo statistics zao uchwara, data za 2018 zetu si jana mliletewa humu..ni 1,600km mbna mnazidi kuwehuka
Huo utopolo warudishieni wenywe, hata hawajielewi wameendika nn
Umeona jinc serikali yenu inavyowachanganya kiasi kwamba hata nyie wenyewe hamjui exact figure.
 
Hapa ss safi kwenye umeme tumepiga na kwenye km of paved road tumewapiga now nahisi km tuingie kwenye afya
Umeme 2.7 out of 10 ndio mkapata ile 84% ya says minister..
Yani kweli kajikoroga data katoa yeye alafu anakuja kujikanganya na percentage
 
Hii inshu ya umeme sijui kwanini inakua ngumu kuelewa.
Hii article inasema watumiaji wa umeme wa Rea, narudia tena watumiaji wa umeme wa RURAL ENEGY AGENCY, ndio wameongezeka kutoka 1mil+ to 2mil+ kumbuka hii ni kwa umeme wa rural pekee ambao hata mji mdogo kama wa mpanda haupo hapo sasa ukifanya percent ya household electricity consuption ya rural ambayo kwa sass ni 74% sawa na household 2.7mil ukijumlisha na urban electricity supply ambayo ni 94% sawa na household 5.87mil users unapata nchi nzima ya tanzania ina 84% electric supply to users.

Na hii evidence ni sisi wenyewe mtu ataje ni kijiji gani mwaka huu 2020 ameenda hakuna umeme? Obvious mimi kila kijiji nachotembea watu wana umeme. Na consumption ya tz kukijengwa biwanda itakua kubwa sana kwasababu saivi ni karibu kila raia anaishi kwenye umeme mpka 2023 nadhani tutakua 95%+ ndo mana serikali inaongeza vyanzo vya kufua umeme..

Ivi kwa akili yenu kweli 2.7 mli house hold Tanzania kweeeli?????
Sio rwanda au burundi hapana nitanzania ambayo ina mji mmja una watu 6+m
Mwanza kwa sasa 2.5m+ na miji mingine mingi inazaid ya 1mil populn afu wawe nq watumiaji wa umeme 2.7m chini ya UGANDa. Mh!!!!!
Tuonyeshe wapi waziri kasema km hyo 2.7 ni ya rural pekee
 
Umechambua vzr na wamekuelewa, na ss ndo nimefahamu kwmb tuko mbali kwenye sekta ya electric connectivity tumegonga 7.87mil wakati Teargass anasema kenya wapo kwny 6mil nchi nzima
Mko na 2.7 million na kama unpinga leta evidence. That 2.7 million translates to 32%
 
someone needs to load common sense into your brain because you have zero intelligence and a low IQ . If that map is genuine, tell me how the Sahara lights up like that! Tell me The names of those cities that light up in the middle of the Sahara desert. Perhaps this map is from an alternate dimension but it’s definitely not from the world that you and I live in. Also, Why are the colors varied? Why Are Most European cities in yellow while those in Africa and the Middle East in pink and purple?
Kwn hakujui uyo jeuri tu, ila akirudi usinsahau kiongozi
 
Cc:Teargas, wameongeza 7.8m households hku
Yani kachambua user mmoja naona jamaa kakutag imeshakua official source tayari kutoka kw random CCM pank
 
Mko na 2.7 million na kama unpinga leta evidence. That 2.7 million translates to 32%
Hyo ni rural areas kijana wacha kujifanya hamnazo so unataka kutuaminisha kwamba even Uganda ametuzd au co? And if so why is this
tapatalk_1602868546594.jpeg
 
Back
Top Bottom