nyinyi mulishapiga mpaka hesabu za mtu mmoja mmoja inside household bado unahitaji ramli kuelewa 😀😀😀Wewe umesema 2.7 m customers huko lazyland wako connected to power. Sasa kigezo kizuri ni kutafuta customers wangapi hapa Kenya wako connected to power ili tulinganishe. That is a more scientific way of doing it. Tuangalie idadi ya connected customers katika nchi zote mbili.
aliekua anaongoza ni nigeria 👇👇👇👇👇👇👇👇 soma hapa
Sasa unapingana na govt statistics?muzitoe wapi 21k ??😂😂😂 kenya ndio iwe nchi pekee duniani imejenga 10000km kwa miaka miwili
84% tanzaniaYeah, the fact is that only 2.7 million customers are connected to electricity in Tanzania. Ama unapinga hiyo?
Kwani nyie mnahesabu vijiji na miji tu?nyinyi mulishapiga mpaka hesabu za mtu mmoja mmoja inside household bado unahitaji ramli kuelewa 😀😀😀
survey source is that kenha source???Sasa unapingana na govt statistics?
But all those three places wanaishi watu!Kwa sababu 3/4 ya Kenya ni arid or semi-arid.
kwa vijijini tanzania ndio inaongoza africa 👇👇👇👇👇 tumempiku nigeria kwa 2%Kwani nyie mnahesabu vijiji na miji tu?
kwani aliemueka nigeria top in rural electrification alikua nani ushawah jiuliza mbona hilo hukuuliza 😂😂😂 unauliza ya tanzania kwasababu ndui adui yenuKwani hiyo ranking ilikuwa ya Nigeria and Tanzania pekee? 🤣 🤣 🤣 South Africa wako wapi? What about Egypt that have 100% connectivity rate? Ama mtu aliwadanganya kuwa siku hizi 100% ni ndogo kuliko 74%?🤣🤣🤣
Wapi penye tulipiga hesabu za mtu mmoja mmoja? This is 2017 and already 5.9 million customers were connected to electricity, nyinyi in 2020 you still have 2.7m. 🤣 🤣 🤣nyinyi mulishapiga mpaka hesabu za mtu mmoja mmoja inside household bado unahitaji ramli kuelewa 😀😀😀
Ndio nataka unijibu ni nani huyo aliweka Nigeria on top. 🤣 🤣 🤣kwani aliemueka nigeria top in rural electrification alikua nani ushawah jiuliza mbona hilo hukuuliza 😂😂😂 unauliza ya tanzania kwasababu ndui adui yenu
Kenya tuna bodies tatu au zaidi zinazojenga barabara. KENHA inajenga highways. KURA inajenga urban roads, KERA inajenga rural roads na county governments zinajenga county roads. Sasa umejumulisha statistics za hizi bodies nne au wewe umeamua kuchukua kilomita zilizojengwa za highways pekee na ukawacha kilomita zilizojengwa ndani ya cities, urban areas na rural areas? Sisi hatuna body moja ya kujenga barabara kama nyinyi. Tuna bodies kadhaasurvey source is that kenha source???
Tanzania is 32% na hiyo hadi World Bank wanajua 🤣 🤣84% tanzania
74% kenya
hautabadilika hata uvae bikini sasa hvi 😂😂😂😂😂
nikujibu nn wakat source zaidi 30 zinaongelea pamoja kwan hao ni wajinga hawana akili na unjua kesi ya kuweka fake news ????😂😂😂😂😂Ndio nataka unijibu ni nani huyo aliweka Nigeria on top. 🤣 🤣 🤣
jipe matumaini wenzenu wanakiri huko 😂😂😂😂 wako km 10000 lakini wameelewa tanzania sasaTanzania is 32% na hiyo hadi World Bank wanajua 🤣 🤣
so survey ndio yenye mamlaka au sio 😂😂😂😂Kenya tuna bodies tatu au zaidi zinazojenga barabara. KENHA inajenga highways. KURA inajenga urban roads, KERA inajenga rural roads na county governments zinajenga county roads. Sasa umejumulisha statistics za hizi bodies nne au wewe umeamua kuchukua kilomita zilizojengwa za highways pekee na ukawacha kilomita zilizojengwa ndani ya cities, urban areas na rural areas? Sisi hatuna body moja ya kujenga barabara kama nyinyi. Tuna bodies kadhaa
Nilishawaambia the overall representative of all those four bodies ni KRB kitambo sana.Kenya tuna bodies tatu au zaidi zinazojenga barabara. KENHA inajenga highways. KURA inajenga urban roads, KERA inajenga rural roads na county governments zinajenga county roads. Sasa umejumulisha statistics za hizi bodies nne au wewe umeamua kuchukua kilomita zilizojengwa za highways pekee na ukawacha kilomita zilizojengwa ndani ya cities, urban areas na rural areas? Sisi hatuna body moja ya kujenga barabara kama nyinyi. Tuna bodies kadhaa
kwa vijijini tanzania ndio inaongoza africa 👇👇👇👇👇 tumempiku nigeria kwa 2%