Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

World Bank sio wajinga wakisema kuwa Tanzanian connectivity rate ni 32% [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] .
Naona inawauma kuona Tanzania mpaka vijiji vya ndanindani kuna umeme yaani kati ya vijiji elfu 12 bado vijiji elfu 2 kupata umeme.
 
Naona inawauma kuona Tanzania mpaka vijiji vya ndanindani kuna umeme yaani kati ya vijiji elfu 12 bado vijiji elfu 2 kupata umeme.
Hata mkipenda manezapeleka umeme mpaka katikati ya Indian Ocean hakuna anayewakataza. But the question that will always remain is that, how many households are connected to electricity in that Indian Ocean?
 
Na sisi tukianza kupiga hizi hesabu zenu za saint kayumba preparatory na ile figure yetu ya 5.9 million itakuwaje? Si mnaona mlivyo wajinga sasa!!
hesabu gani wakat nyinyi tayar mushapiga hesabu hzo na munavopenda sifa mtaacha kupiga ww unafkiri unapoambiwa access to electricity 84% unaelewa nn??? manake mpaka uwe na akili ya kufkiria aisee
 
I said 2.7 million customers which are the same as 2.7 million households. If I go with your estimation of the number of people per household, then the total number of households in Tanzania is 56 /6. That brings about 9 million households in the entire country. So according to you, 2.7 million of 9 million ni 84%? 🤣 🤣 🤣
If I can trust my maths I think that will be:
If 9 million = 100%
What of 2.7 million= ?

2.7/9*100 =30%


So your electricity connectivity rate is 30%
2.7m * 6 is how much???😂😂😂😂
 
Wewe unajua maana ya household kweli? In that 10 floors highrise every occupied inhabitable house is being counted as household. So hao watu 60 maybe wanaishi kwa nyumba sita tu kwa hiyo gorofa which brings the number of households to 6. Sasa shirika la umeme watasema kuwa they have six custumers kwa hiyo gorofa na sio 60. Hope umenielewa vizuri.
kwan hapa tunaongelea nn nyumba moja wanachukua average ya watu sita so take 2.7m * 6 alaf upate number of people then tumia akili kusoma sio kuelimika pekee manake unaeza soma ukawa zombi tu😂😂
 
World Bank sio wajinga wakisema kuwa Tanzanian connectivity rate ni 32% 🤣 🤣 🤣 .
world bank walisema source ya 2015 so ikiambiwa 2020 kazi kmefanyika bado unashangaa nini 😂😂😂 wamekubali wenzenu nigeria utakua nyinyi mbuzi manake kwenu nyinyi tanzania ni adui
 
Achana na hao, nishawapigia hesabu legit nikapata 30%. Nangoja mwenye atakuja kupinga
mm hua napinga kwa hoja sio maneno 😂😂😂 nimekupa official link za 2020 zaidi ya 20 bado unataka nn?? na huwez kubali kwasababu tanznaia ni adui yako na hata usipokubali ww haisaidii wala haizuii sisi kusonga mbele mark my words
 
Hata mkipenda manezapeleka umeme mpaka katikati ya Indian Ocean hakuna anayewakataza. But the question that will always remain is that, how many households are connected to electricity in that Indian Ocean?
fact will remain there hata uwehuke akili au uvae sidiria saaa hvi haitabadilika ukweli 😂😂😂😂👇👇👇👇👇

source from nigeria

 
Wewe kweli mbumbumbu. You can have access to electricity but you are not connected. Here we are more concerned about the total number of people CONNECTED to electricity, sio watu wanaoona nguzo za stima zikipita kilometer kumi kutoka waliko ila hawatumii umeme majumbani mwao. Tanzania mko na watu 2mln wanaotumia umeme ila Kenya kuna watu 6mln. Huoni kwamba argument yako ni ya kijinga?
Nyani [emoji205][emoji205]ako na iq ngapi?[emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-2078784940.jpg


Sent from my TECNO SA1 using JamiiForums mobile app
 
2.7m * 6 is how much???😂😂😂😂
16 million. Asante kwa kubali kuwa only 16 million Tanzanians wako na umeme 🤣 🤣 🤣
Sasa wacha nifanye mahesabu zangu.
Tanzania total population as of 2020 = 55 million plus
Population with electricity = 16.2 million.
The proportion of the population with electricity = 16.2/55*100= 30%
 
world bank walisema source ya 2015 so ikiambiwa 2020 kazi kmefanyika bado unashangaa nini 😂😂😂 wamekubali wenzenu nigeria utakua nyinyi mbuzi manake kwenu nyinyi tanzania ni adui
Ushaanza kurudisha miaka nyuma? Wapi penye World Bank walisema source ni ya 2015?
 
Back
Top Bottom