Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahyo co tena 21k bali ni 17k
2424280_IMG_20200611_130314.jpg
 
Ukiona mtanzani amekomalia twitter ujue amekosa pakutokea..
Ni sawa na kichaa aliyeshikwa na njaa kali sana, sokoni akishika chungwa mtauwana hata km pembeni yapo mia
Mbaya zaidi hiyo tweet inaongelea road network ya 2009. 🤣 🤣 🤣
 
sisi 2019 tumefkisha 13000km and 2000 ziko under construction mbona liko wazo kabisa 😂😂😂 na hatuna bla bla bla hapa
In 2009, Kenya`s paved roads were 11,000km according to WB but in 2019 tumefika 21,000km.
2424280_IMG_20200611_130314.jpg
 
In 200
in 2017 umekubali mlikua na 11000km accorfing to world bank 😂😂😂 so in 2yrs time mumejenga 10000km , pima akili yako bro kuna shida sehemu
In2009 tulikuwa na 11,000km, in 2019 tuko na 21,000km.
2424280_IMG_20200611_130314.jpg
 
world bank inasema 2017 mlikua na 11000km sawa sio sawa
Jamaa amekosa raha kabisa cku ya leo na kwa jinsi walivyokata tamaa na nchi yao basi huu ukweli wa kwamba wana km 11k only of paved roads utawafanya wapotee humu hata mwenzi, c mnakumbuka ubungo interchange iliwafanya walasusia thread?
 
Jamaa amekosa raha kabisa cku ya leo na kwa jinsi walivyokata tamaa na nchi yao basi huu ukweli wa kwamba wana km 11k only of paved roads utawafanya wapotee humu hata mwenzi, c mnakumbuka ubungo interchange iliwafanya walasusia thread?
2424280_IMG_20200611_130314.jpg
 
Back
Top Bottom