Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

naona umembaka mchana kweupe😂😂😂
Nimeshampa ukweli na orodha za barabara zote zilizopo Kenya hapo, yeye analeta mpaka Unclassified roads, barabara za kwenye mashamba ya Chai na kahawa za vumbi zipo included 😁😁😁😁

Ukweli wote upo hapa na kila barabara ya Kenya ina jina, kama ana ubavu tuanze kuzitaja barabara moja baada ya nyingine kama huo ubavu anao 😁😁😁

Screenshot_20201014-134821~2.png
 
Mwingine pia hapa juu anajaribu kulazimisha KENHA to be the overall body that stands for Kenyan roads [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Huyo hata nilimpuuza mimi, kwhyo ywadaidha akina KURA ni za tanzania sio[emoji23][emoji23]
 
Tony ana exposure kuliko ww na ndiyo maana huwa tunamlinganisha kdg na WaTz, unataka kujifananisha na tony ww, mwenzio ameona zile ni underpass ww ambaye hujawahi kutoka kenya hata mara moja unabisha.
Wacha kuniingiza katika battle yako na Teargass Yaani amekunyorosha hadi umeanza kunitajataja. Wewe nilikuita battle ya mabenki jana ukatoroka. Nilijua tu nitakupata humu ukijipiga kifua. Sitaki kukosana na Mkenya yeyote kwa hivyo wacha kunigonganisha na Teargass.
 
Wacha kuniingiza katika battle yako na Teargass Yaani amekunyorosha hadi umeanza kunitajataja. Wewe nilikuita battle ya mabenki jana ukatoroka. Nilijua tu nitakupata humu ukijipiga kifua. Sitaki kukosana na Mkenya yeyote kwa hivyo wacha kunigonganisha na Teargass.
Huyo huwa akilemewa anaita usaidizi ama anaruka ka topic ingine.
 
Wacha kuniingiza katika battle yako na Teargass Yaani amekunyorosha hadi umeanza kunitajataja. Wewe nilikuita battle ya mabenki jana ukatoroka. Nilijua tu nitakupata humu ukijipiga kifua. Sitaki kukosana na Mkenya yeyote kwa hivyo wacha kunigonganisha na Teargass.
Alafu ni kama umekuwa admirer wake, kwani jamaa ni guy au nini?🤣🤣🤣
 
Nimeshampa ukweli na orodha za barabara zote zilizopo Kenya hapo, yeye analeta mpaka Unclassified roads, barabara za kwenye mashamba ya Chai na kahawa za vumbi zipo included 😁😁😁😁

Ukweli wote upo hapa na kila barabara ya Kenya ina jina, kama ana ubavu tuanze kuzitaja barabara moja baada ya nyingine kama huo ubavu anao 😁😁😁

View attachment 1599867
achana nao hawa bro akili hakuna kichwani😂😂😂😂😂😂
 
Huyo huwa akilemewa anaita usaidizi ama anaruka ka topic ingine.
Kumbe ulishamsoma hata wewe, niliona umlimfanyia sana katika sekta ya barabara mpka akaanza ku post vitu havielewi..
Yani ywaruka ruk km malaya bikra vile
 
Tena kaficha mpka tarehe ili nae aonekane anajua kufanya research
Wamejaribu kutafuta sites zote hile wapate current data lakini wanashindwa. The only current data ni zile za KNBS zenye hawataki kukubali.
 
Back
Top Bottom