Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 27,003
- 27,998
Wewe unakuanga na kazi? 🤣 🤣 🤣Wacha ujinga hii mada ilianza jana usiku tumepelekana ukakimbia now ni mda wa kazi usinichoshe ila ukitaka mziki ngj nimalize majukumu yng you know me![]()
Wewe unakuanga na kazi? 🤣 🤣 🤣Wacha ujinga hii mada ilianza jana usiku tumepelekana ukakimbia now ni mda wa kazi usinichoshe ila ukitaka mziki ngj nimalize majukumu yng you know me![]()
Hebu weka ile underpass yenu nikufunze kitu.Toa ujinga hapa. Nenda ukajifunze tofauti ya bridge na underpass.
Unadhani mm km ww unayekesha humu 24/7? Ww c umesema unasoma ww hopeful bado uko kwa baba.Wewe unakuanga na kazi?![]()
![]()
![]()
Itafute kwa zile post za nyuma utaipata.Hebu weka ile underpass yenu nikufunze kitu.
Pwahahaha. When you search in googleKitu nimegundua na nyinyi watanzania ni kuwa mko desperate sana. Sasa unataka serikali iweke lami kwa shamba ya mtu? 😂 😂 😂
Alafu mnapenda kuokota picha za kitambo sana. Turkana ndio hii hapa.
View attachment 1599748
Sawa nenda ukafanye kazi ya kuwinda albino.Unadhani mm km ww unayekesha humu 24/7? Ww c umesema unasoma ww hopeful bado uko kwa baba.
naona umembaka mchana kweupe😂😂😂Primary roads
Secondary roads
Minor roads
Special purpose roads
Unclassified roads
Ndio utopolo gani huu?
Au ndio pavements za majumbani? 😁😁😁😁😁
Em naomba mjadala uanzie hapa sababu kumbe tatizo lipo hapa 😁😁😁😁
View attachment 1599522
Umesoma hiyo screenshot ama wewe kazi yako ni kupanua tu mdomo?Pwahahaha. When you search in google
View attachment 1599764
We ngj ugali hapo kwa baba usubili mfungue shule zen umalize hyo form4 uolewe.Sawa nenda ukafanye kazi ya kuwinda albino.
Huyo alishajaribu akashindwa naona saa hii ndio unaingia.naona umembaka mchana kweupe😂😂😂
Hio sio underpass tunnel. Mzee hio inafanana na tunnel kweli?Kwahyo mnataka tuzibe juu ili zifanane km yenu ndo muite underpass? Kenya ni washamba snView attachment 1599756
I have my house and I have a job unlike you. Just because niko off doesn`t mean I`m idle like you. Hii wiki nzima hadi Sunday ntakuwa hapa from morning hadi midnight just to enjoy mocking you.We ngj ugali hapo kwa baba usubili mfungue shule zen umalize hyo form4 uolewe.
Soma vzr comment nimekwambia unataka tuzibe juu bila sababu za msingi km mlivyofanya nyie ndio muite underpass?Hio sio underpass tunnel. Mzee hio inafanana na tunnel kweli?
Katika battle ya mabenki naona hutaki kuzungumza. Hata battle ya Safaricom najua hutaki kuikaribia.Kwahyo mnataka tuzibe juu ili zifanane km yenu ndo muite underpass? Kenya ni washamba snView attachment 1599756
naona amekubaka mchana kweupe 😂😂 kumbe hua unapumuliwa kichogoni kama kawaHuyo alishajaribu akashindwa naona saa hii ndio unaingia.
Hiyo siyo underpass. Mbona mnapenda kulazimisha vitu?Soma vzr comment nimekwambia unataka tuzibe juu bila sababu za msingi km mlivyofanya nyie ndio muite underpass?
Yetu kuna sababu ya kuziba juu. Magari yanapita juu.Soma vzr comment nimekwambia unataka tuzibe juu bila sababu za msingi km mlivyofanya nyie ndio muite underpass?
Una kazi ww dada muongo tu unaongopea watu ww nurse kumbe wapi, weka uthibitisho humu tuamini kweli ww ni nurse.I have my house and I have a job unlike you. Just because niko off doesn`t mean I`m idle like you. Hii wiki nzima hadi Sunday ntakuwa hapa from morning hadi midnight just to enjoy mocking you.