Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,801
- 4,216
Wapi sasa.. kiunoni au.miguuni ....Hata ndio nashangaa
Nauliza hizo shanga unazo wapi !? 🙂
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wapi sasa.. kiunoni au.miguuni ....Hata ndio nashangaa
Utakuwa mjinga kujiuliza kwanini tunashare kupitia vyombo vyenu vya habari...sababu jibu lake ni jepesi tu vyombo vyetu have no interest with your dummy stories"Hakuna hata chombo kimoja cha habari kinachozungumzia habari ya Kenya" [emoji23] [emoji23] how laughable! Usijifanye ulijiunga JF juzi. Ni mara ngapi mnashare habari za NTV, Citizen na KTN humu? Have you ever seen a Kenyan sharing information from your news channels? Nyinyi mnajua hadi majina ya magavana wetu pamoja na mawaziri hadi wake/mume zao hadi na watoto pia wakati mimi hata jina ya vice president wenu ndio sijui
But u just love watching and sharing those dummy stories wowUtakuwa mjinga kujiuliza kwanini tunashare kupitia vyombo vyenu vya habari...sababu jibu lake ni jepesi tu vyombo vyetu have no interest with your dummy stories
NTV ni chombo cha Tanzania?, ninakuambia hakuna TV ya Tanzania au gazeti litashughulika kuandika kile Kenya inafanya kwa ajili ya nchi wananchi wake. Tunashangaa kuona TV za Kanya na wakenya wanazungumzia kitendo cha Tanzania kuamua kuanzisha mnada wa kununua chai, Kenya inawahusu nini hadi mnalifanya kua ni habari muhimu huko kwenu?."Hakuna hata chombo kimoja cha habari kinachozungumzia habari ya Kenya" [emoji23] [emoji23] how laughable! Usijifanye ulijiunga JF juzi. Ni mara ngapi mnashare habari za NTV, Citizen na KTN humu? Have you ever seen a Kenyan sharing information from your news channels? Nyinyi mnajua hadi majina ya magavana wetu pamoja na mawaziri hadi wake/mume zao hadi na watoto pia wakati mimi hata jina ya vice president wenu ndio sijui
Jamhuri stadium Dodoma
[emoji23][emoji23][emoji23]Utasikia wanasema lengo la kupanua huo uwanja wa Zanzibar ni kushindana na Kenya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
In a failed state, everything fail tooHawa technobrain walikuwa Tanzania mwanzo wakahamia kenya kwavile kuna michongo ya wizi, now wako banned safi sana!
Hivi hii ni hasira Ama!!
Ingekuwa ni kenya unaona whites tuu...Tanzania Swimming AssociationView attachment 1598031View attachment 1598032View attachment 1598033View attachment 1598034
Wakileta km hii kutoka ukanda wote wa kusini mwa Sahara..natema mzigo.Kuna ndugu yangu hapa ameniambia niwaruhusu muombe msaada hata kwa nchi yoyote EAC. Mulete kitu kama hii. Maana naona mnakomaa na underpass ya urefu wa mita 10. Wakati nayo ni daraja tu. Kama izi za kwetu. Leteni bridge kama iyo Nairobi na hata mkipata ya jirani leteni tu sisi hatuna shida.
😂😂😂😂 wazee wa GDPHawa senators watakutana na madudu hawajawahi ona maishani mwao!
Watakutana na madudu ya "chinese first class"!😂😂😂😂 wazee wa GDP