Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I was in Mwanza today and decided to take the ferry to witness the upcoming Kigongo-Busisi bridge construction. Big up to the JPM administration for all the massive infrastructure projects in the country. VIVA TANZANIA 🇹🇿
6E228F97-A115-4200-8CFA-19AA5E37A5AF.jpeg
73F04363-3B8F-4C74-8E8A-2EC6EFF19CEE.jpeg
E34624A3-C525-42C3-81A8-4CAA4D17FBF9.jpeg
D62F027D-F2C7-46F9-9362-1E49F7A821A8.jpeg
3AB16370-20C0-49B4-9C29-7878A71A5887.jpeg
 
Watanzania huwa hawana habari na viongozi wa nchi jirani kuna clip moja ililetwa humu watanzania nafikiri wa Arusha wanaulizwa kuhusu viongozi na watu mashuhuri wa kenya hawawajui kabisa ila wenzetu mnawajua watu mashuhuri wa Tz km wote.

Mm binafsi baadhi ya viongozi wa kenya nimewajulia humu mfano Ruto hata sura yake ckuwa naijua kabisa nimemfahamu humu Jf.


Wengine cjui kina joho cjui uchafu gn ndo cwajui ofcz hata vyama vya siasa vya kenya being honest cvijui na Wala huwa cjishughulishi kuvijua, na hivyo ndivyo tulivyo WaTz, tofauti na ninyi wenzetu mnajua vyama vyote Tz mpk vya kina Rungwe [emoji3][emoji3]
Wewe lazima ni mgeni hapa jf. Wenzako wanajua Kenya in and out. Kuna siku nilishangaa wanashare majina za magavana wetu hadi nikashangaa. Cha ajabu ni kwamba wanajua hadi majina za mawaziri wetu. Wewe hapa umekiri unajua Ruto ( our deputy president) wakati mimi hata makamu wenu wa rais hata sijui ywaitwaje!
 
Back
Top Bottom