Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,705
- 107,150
Uchumi wa Tanga ulikufa kabisa, biashara kubwa ni Cement, chuma kutoka viwanda vya Tanga, na Mafuta yanayoshushwa bandarini kwenda mikoa ya Kaskazini ndio sababu trains zinapata mizigo.
Boats zinategemea Sana uchumi wa watu binafsi kufanya biashara ili waweze kusafiri kwa wingi, TANGA na Mombasa hakuna biashara ya maana sana kwahiyo hakuna kabisa volume kubwa ya wasafiri.
Ukifika pale mpaka wa Horohoro, hapako busy kabisa, watumishi wanasoma magazeti. Mfano mzuri ni usafiri kati ya Dar na Mafia.
Biashara ya utalii ipo kwa boat za kawaida! usianzishe league flying horse kabla ya kufilisika ilikuwa inaenda! hamna mtu anataka kulipa $300 kwa flight ya 45-60 min wakati anaweza kupanda boat kwa masaa mawili kwa gharama ya chini ya $50!