Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii sjiara haijawahi kukamilika?
Usisahau imeanza kujengwa 2017 na ni ndefu hakuna mfano so unategemea miaka miwili tu ikamilike? Hakuna sgr line ndefu km inayojengwa Tz ukanda huu, na pia usisahau itakuwa ni ya umeme hvyo hapo kuna kazi mbili kwnz kujenga reli pili kutengeneza miundombinu ya umeme.

Msiwe na haraka wakunya mtaiona tu na hatimaye na cc EA tutakuwa na cha kujivunia mana Afrika mashariki kuwa na reli ya umeme c mchezo ni jambo la kumshukuru Mungu aisee.
 
Usisahau imeanza kujengwa 2017 na ni ndefu hakuna mfano so unategemea miaka miwili tu ikamilike? Hakuna sgr line ndefu km inayojengwa Tz ukanda huu, na pia usisahau itakuwa ni ya umeme hvyo hapo kuna kazi mbili kwnz kujenga reli pili kutengeneza miundombinu ya umeme.

Msiwe na haraka wakunya mtaiona tu na hatimaye na cc EA tutakuwa na cha kujivunia mana Afrika mashariki kuwa na reli ya umeme c mchezo ni jambo la kumshukuru Mungu aisee.
Hii yenu ni fupi. Kama Ethiopia wanaweza kujenga Sjiara ya 700 km kwa miaka mitatu mbona ninyi malazy mnachukua zaidi ya miaka mitatu kujenga 200 km?
 
Hii yenu ni fupi. Kama Ethiopia wanaweza kujenga Sjiara ya 700 km kwa miaka mitatu mbona ninyi malazy mnachukua zaidi ya miaka mitatu kujenga 200 km?
Na nyie mlichukua miaka mingapi....?? Na yetu sio 200km...Ongea facts...
 
Na nyie mlichukua miaka mingapi....?? Na yetu sio 200km...Ongea facts...
Sisi tulichukua miaka mitatu kujenga phase one. Yenu ni 200 km phase one na mumeshindwa kuimaliza chini ya miaka mitatu.
 
Mtoa mada alimaanisha 30 mt kutoka nyerere road na sio 30 sqm kama ukubwa wa chumba changu.
Eldoret na Dar wap na wap ndugu yangu ww? Yes largest Ni mlimani city n Quality centre both are 30sqm
 
Hii yenu ni fupi. Kama Ethiopia wanaweza kujenga Sjiara ya 700 km kwa miaka mitatu mbona ninyi malazy mnachukua zaidi ya miaka mitatu kujenga 200 km?
Hebu Google kutoka Dar mpk Kigoma au kutoka Dar mpk Mwanza ni km ngp zen uje
tapatalk_1598798088168.jpeg
 
Endelea lkn bado sana kulinganisha na M.City, hata quality tu ya majengo ni tofauti, Mlimani City inavutia zaidi, ...
Bado ukitafuta picha za kuweka, acha nikuongeze na hizi hapa. Hii inaitwa The Hub Shopping Mall
41429d4d-880f-4518-8a70-e631e165c33e-0.jpg
b0fb6054-cb83-4677-9481-3834d9e4a93b-0.jpg
IMG_20200116_110729.jpg
 
kama ume-notice week hii imekua ya news mbofumbofu kwao wakigeuka Amina chalii.., upande wa pili WB hao wamewaweka kwenye kundi la heavily indebted n risky..! wakigeuka kule Uhuru katangaza habari za Maombi baada ya kuaminishwa wamepigana na COVID19 na baada ya Uhuru kudai Tanzania wanaficha data..!
Ukweli ni kwamba Kenya ni purely "Failed state", ukiwauliza wakenya na viongozi wao kuhusu mwelekeo wa Kenya kama nchi ni upi, zaidi ya Hustlers vs BBI, au Tangatanga vs Kieleweke, hawana zaidi ya hapo.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom