Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,712
- 107,153
kama ume-notice week hii imekua ya news mbofumbofu kwao wakigeuka Amina chalii.., upande wa pili WB hao wamewaweka kwenye kundi la heavily indebted n risky..! wakigeuka kule Uhuru katangaza habari za Maombi baada ya kuaminishwa wamepigana na COVID19 na baada ya Uhuru kudai Tanzania wanaficha data..!Hivi wakenya huwa wakiambiwa deni ni kubwa wanajitetea kwamba hata Japan wana deni kubwa, waje watuambie kama WB wameiweka Japan au USA Katina hili kundi.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app