Wakenya hawajawahi kukubali chochote kinachofanywa na Tz hata kama viongozi wao wanaonesha dhahiri shairi kutaka kujifunza kutoka Tz lkn Wakenya wa humu hawakubali, ss nashangaa WaTz wa humu kuleta Shobo na kujifanya wapo fair, fairness gn unatuletea humu? Hatutakuelewa kabisa cz hao unaowapa credit wao hawakupi hata ufanye nn ss hii ndo nn?
WaTz wacheni kuturudisha 60s miaka ambayo WaTz wengi walikuwa na roho ya utu ambayo imepelekea leo cc watoto zao tuishi mazingira km haya, hawa jamaa ni wakuwakataa kivyovyote vile hawafai kabisa na hawapaswi kusifiwa kwa chochote kile cz hata wao hawako fair na ni washenzi kabisa na hawaitakii mema nchi yetu.
Mm nikiona mTz anasifia kenya kivyovyote vile namuona km msaliti na anayejipendekeza kwa mijitu isiyo na shukurani.
Wacheni mambo yenu bhn, kwn Wakenya wa humu Jf hawajui km tunaenda kwenye right direction? Mbn hawasifii, je hawajui km serikali yao imejaa ufisadi? Mbn hawakubali, ss ninyi WaTz mbn mnaleta utanzania wenu wa 1960s wacheni mambo yenu bhn.