Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,434
Hiyo huwa hatupingi. Nyie mna natural resources nyingi kutushinda. Inaonekana wewe sio mwenyeji wa JF.TZ iko blessed with lots of resources kuliko Kenya
Hiyo huwa hatupingi. Nyie mna natural resources nyingi kutushinda. Inaonekana wewe sio mwenyeji wa JF.TZ iko blessed with lots of resources kuliko Kenya
Niko JF toka 2013 mi mwenyeji kuliko wewe wa 2017Hiyo huwa hatupingi. Nyie mna natural resources nyingi kutushinda. Inaonekana wewe sio mwenyeji wa JF.
Usafi wa Kila mwisho mwezi unaanza huko Kama ilivyo TZ,kuiga si mbaya jirani
Mbona basi wewe bado ni member? Hujakuwa ukiposti sana kama wenzakoNiko JF toka 2013 mi mwenyeji kuliko wewe wa 2017
Hii mlimani ni ya pili au ni ile ile moja mnayotusumbua nayo?Hizi hapa mbili,zingine zinakuja jirani.
Zanzibar mall
View attachment 1595443
View attachment 1595447
Mlimani city mall
View attachment 1595448
Mwongezee na rock city mallHii mlimani ni ya pili au ni ile ile moja mnayotusumbua nayo?
Hehehehehe yn ww ukiziona zile blue towers basi ni CBD [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwamba upo China au...?[emoji3][emoji3]Time zone tafuati. wewe uko macho uliza ka silali. Cbd- central business district
View attachment 1595425
Co CBD hiyo yn mkiona blue towers basi ni cbd nyie Dar hamuijui km cc tunavyoijua Nairobi [emoji3][emoji3]Hahaha. Asante kwa kuangamiza hawa watu. CBD yao imeparara aisee. Hehe
Wacha wafagie mana nairobi chafu sn.Usafi wa Kila mwisho mwezi unaanza huko Kama ilivyo TZ,kuiga si mbaya jirani
Hehehehehe hyo ID ni ya kitambo kuliko yako mkuu.Hiyo huwa hatupingi. Nyie mna natural resources nyingi kutushinda. Inaonekana wewe sio mwenyeji wa JF.
duuuh.....!!!! dar kuna mall moja......?Yaani nyie mna mall moja tu inayoitwa milimani city. Haki mnatuangusha sisi wana Afrika Mashariki. Hata Uganda kanchi kadogo kana malls nyingi kuwashinda. Halafu hapa Afrika, Afrika Kusini pekee ndio imeshinda Kenya kwenye idadi ya malls. Kwa hivyo hapa hakuna battle na sitakubali kupigana battle ya malls na nyie.
Kumbuka apo sio moja ni mbili iyo ya mwisho ni Aura mall sasa ww lialia tu....alafu akuna ambayo haijafunguliwa so tuliaFungueni hiyo mall angalau muwe na malls mbili? Hehehe.
Hio dar-Slum ni safi sasa vile naijua.Dar is the dirtiest City in East Africa duh!Wacha wafagie mana nairobi chafu sn.
achana naye huyo,,hakuna anachojua kuhusu darKumbuka apo sio moja ni mbili iyo ya mwisho ni Aura mall sasa ww lialia tu....alafu akuna ambayo haijafunguliwa so tuliaView attachment 1595543View attachment 1595542
hebu piga picha ile cable stayed bridge pale Nyerere Road naskia imevunjwa!Kawawa Road SGR Bridge.
View attachment 1595579
View attachment 1595580
View attachment 1595581
View attachment 1595582
Hivi wakenya huwa wakiambiwa deni ni kubwa wanajitetea kwamba hata Japan wana deni kubwa, waje watuambie kama WB wameiweka Japan au USA Katina hili kundi.