Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar cbd
1602291688577.png
 
Ww kwel sio muelewa kitu kinachohitajika n nchi kuwa na umeme wa kutosha ili kuendana na Kasi ya maendeleo ya taifa sasa kama Tanzania xaxa hv wanaweza kugenerate umeme mwing had ukazid n xawa ndio jambo zur coz inawezekana kabisa hata kuuzia nchi jiran zenye uhaba wa umeme, Ila sio kwa hoja hyo unayoisema eti utabak hapo umefeli jenga hoja vizur umechemka hapo
Wewe kiswahili chako tu ndio kizuri ila sikubaliani na ulichoandika.
 

Yaani nyie mna mall moja tu inayoitwa milimani city. Haki mnatuangusha sisi wana Afrika Mashariki. Hata Uganda kanchi kadogo kana malls nyingi kuwashinda. Halafu hapa Afrika, Afrika Kusini pekee ndio imeshinda Kenya kwenye idadi ya malls. Kwa hivyo hapa hakuna battle na sitakubali kupigana battle ya malls na nyie.
 
Wewe acha ku troll, hapo siyo CBD, hiyo ni Kariakoo. Kama huujui mji omba ufahamishwe. Wengine tumezaliwa na kukulia hapo CBD, tuko proud sana na jiji hilo.
Nyie mkitroll Nairobi Cbd kwa kuweka picha ya Kibera mnadhani huwa tunahisi vipi? At254 endelea kuweka mafuta kwenye moto. Hawa lazima watuwakarange.
 
Nyie mkitroll Nairobi Cbd kwa kuweka picha ya Kibera mnadhani huwa tunahisi vipi? At254 endelea kuweka mafuta kwenye moto. Hawa lazima watutambue.
Tatizo siyo kuonesha sehemu bali kutaja sehemu ambayo siyo. BTW, jak je praha?
Yaani nyie mna mall moja tu inayoitwa milimani city. Haki mnatuangusha sisi wana Afrika Mashariki. Hata Uganda kanchi kadogo kana malls nyingi kuwashinda. Halafu hapa Afrika, Afrika Kusini pekee ndio imeshinda Kenya kwenye idadi ya malls. Kwa hivyo hapa hakuna battle na sitakubali kupigana battle ya malls na nyie.
Malls ni mambo ya kizamani bana, walioyaanzisha hayo ma-malls wanayafunga. Halafu wabongo sio watu wakuiga vitu, mbona sisi tuna masoko ya kisasa mengi kuliko nchi yoyote A. Mashariki?
 
Yaani nyie mna mall moja tu inayoitwa milimani city. Haki mnatuangusha sisi wana Afrika Mashariki. Hata Uganda kanchi kadogo kana malls nyingi kuwashinda. Halafu hapa Afrika, Afrika Kusini pekee ndio imeshinda Kenya kwenye idadi ya malls. Kwa hivyo hapa hakuna battle na sitakubali kupigana battle ya malls na nyie.
Acha kulialia apa
JamiiForums685283657.jpg
JamiiForums-902787209.jpg
JamiiForums-1384692235.jpg
JamiiForums-1901634182.jpg
 
Tatizo siyo kuonesha sehemu bali kutaja sehemu ambayo siyo. BTW, jak je praha?

Malls ni mambo ya kizamani bana, walioyaanzisha hayo ma-malls wanayafunga. Halafu wabongo sio watu wakuiga vitu, mbona sisi tuna masoko ya kisasa mengi kuliko nchi yoyote A. Mashariki?
Praha byl dobra. Ja jsem v Nairobie. Ale minuly rok ja byl v Prahy. Yaani umenishangaza sana. Vipi unaifahamu hio lugha? Kwani uliishi huko? Ama wewe ndio Toyota escudo maana nikiwa huko niliongea na Toyota Escudo hapa JF akaniambia kuwa ameishi huko.
 
Praha byl dobra. Ja jsem v Nairobie. Ale minuly rok ja byl v Prahy. Yaani umenishangaza sana. Vipi unaifahamu hio lugha? Kwani uliishi huko? Ama wewe ndio Toyota escudo maana nikiwa huko niliongea na Toyota Escudo hapa JF akaniambia kuwa ameishi huko.
Hapana mimi siyo huyu jamaa, wa Czech pamoja na wa Polish niliwafahamu nikiwa Chicago. Mademu wa Czech wengi huwa wana natural beauty.
 
Back
Top Bottom