Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ngoja niifute... ila sina uhakika kama ni yey 100% ila nimeuliza mana anasema huwa anakuja huku sana masaki/oysterbay na gari lake liko kama hilo..

Nitupie inbox niione niconfirm Boss [emoji23][emoji23][emoji23].
 
Kwa maximum cargo weight ya 20” container - 19 tons na 40” container 20 tons mpaka 22 tons kwa barabara nyingi za SADC so unaweza kupiga hesabu nini maana ya 3000 tons ferry wagon capacity itaibeba containers ngapi kwa mkupuo.

Roughly 160 containers kwa mkupuo.
 
Azam marine's Kilimanjaro VIII loading.....
120837065_1017226568729875_1475479059291618642_o.jpg
 
Back
Top Bottom