Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,720
- 107,165
haya rudi kitandani ukojoe sasa๐๐๐๐๐๐๐๐
Huyu mama ana gundu kila anapogusa anaangukia pua!
haya rudi kitandani ukojoe sasa๐๐๐๐๐๐๐๐
tatizo anakimbilia vyeo sio size yake na kenya inatumia pesa za taxpayers kushawishi ili apite lakini wapi ๐๐๐๐Huyu mama ana gundu kila anapogusa anaangukia pua!
thanks for showing us white elephant ๐๐๐๐
Uwaziri kwenyewe kapwaya kila siku anabadilishwa! naskia ni shemegi ya Uhuru kaka yake kamuoa Amina!tatizo anakimbilia vyeo sio size yake na kenya inatumia pesa za taxpayers kushawishi ili apite lakini wapi ๐๐๐๐
Ukiliangalia hili daraja ni kama halija kamilika ...lkn linafany kazi...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
halijakamilika halina taa na pia si walisema wataweka catenary poles kubeba over head line!?Ukiliangalia hili daraja ni kama halija kamilika ...lkn linafany kazi...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Hata kama wataweka catenary poles bado limeka unfinished viaduct , angalia izo bims zilivyo lala juu ya concrite pillars ni kama hazijaungwa vizuri !halijakamilika halina taa na pia si walisema wataweka catenary poles kubeba over head line!?
Tembo mweupe mbugani ๐ฌ
alimcheka magufuli huyu leo anatubu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
alimcheka magufuli huyu leo anatubu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Wakuu vyuma vingine vinakuja lake Victoria
Mzigo wote wa Uganda tunaondoka nao
3000 metrics tones wagon ferry
100 tons crane
Unasemekana ni mpango wa kando wa Uhuru..sio ShemelaaUwaziri kwenyewe kapwaya kila siku anabadilishwa! naskia ni shemegi ya Uhuru kaka yake kamuoa Amina!