henry kilenga
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 1,329
- 1,119
Ndo mana huwa wanapewa vitasa km hv [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1593284
Hatari 😀😀😀
Ndo mana huwa wanapewa vitasa km hv [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1593284
Hili analosema TAL kuhusu trams aliwahi kulisema lwiva.
Inaleta ladha hata kuila[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]HILI NDIO PICHA LANGU LA MWAKA 2020, napendaga creativity
amesahau na airport ya Kigoma iliyoruhusu ndege iliyombeba kumuwahisha kwenda Dar...Ndo mana huwa wanapewa vitasa km hv [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1593284
Dar Es salaam haiwezekani kuweka trams. Equivalent ya trams kwa sasa ni BRT. Instead of trams, Dar imepangwa urban rail (metro rail) ambayo sehemu kubwa itakuwa elevated ili kukwepa road traffic. Pia reli hiyo itaungana na existing commuter rail. Tram system imepangwa kujengwa Dodoma ambapo tayari JICA wameshafanya upembuzi yakinifu. Na pia Mbali na trams Dodoma nayo itakuwa na light rail.Hili analosema TAL kuhusu trams aliwahi kulisema lwiva.
Sipati picha kwa vile vituo vya BRT tram ita-fit vp! labda ziwe tram za aina yake!Dar Es salaam haiwezekani kuweka trams. Equivalent ya trams kwa sasa ni BRT. Instead of trams, Dar imepangwa urban rail (metro rail) ambayo sehemu kubwa itakuwa elevated ili kukwepa road traffic. Pia reli hiyo itaungana na existing commuter rail. Tram system imepangwa kujengwa Dodoma ambapo tayari JICA wameshafanya upembuzi yakinifu. Na pia Mbali na trams Dodoma nayo itakuwa na light rail.
Kiufupi ni impossible. Dar ni either BRT au Tram system na serikali obviously imechagua BRT. Notice how this Casablanca tramline is situated at the center of the road just like the BRT lanes? The stations,however, are put on the side of the tranline instead of the center like our brt stations.Sipati picha kwa vile vituo vya BRT tram ita-fit vp! labda ziwe tram za aina yake!
Nadhani at designing stage hawaku-consider sharing of the track btn BRT and tram! labda wade-sign tram iliyonyanyuliwa ku-fit elevated level ya vituo!Kiufupi ni impossible. Dar ni either BRT au Tram system na serikali obviously imechagua BRT. Notice how this Casablanca tramline is situated at the center of the road just like the BRT lanes? The stations,however, are put on the side of the tranline instead of the center like our brt stations.
View attachment 1593357View attachment 1593359
eti wanashindana na tanzania 😂😂😂
Haha,kujipa matumaini tuHapa unapajua? Miaka michache iliyopita hapakuwa hvyo so the same as Ubungo miaka michache ijayo hapatokuwa hvyo cz hapastahili tena kuwa hvyo mana kuna infrastructure ambazo hazipatikani EA nzma plus jengo la BRT litakalowekwa pembeni hapo ni lazima kuwe moto zaidi ya unapopaona hapa chini[emoji116![]()
alimcheka magufuli huyu leo anatubu 😂😂😂😂😂👇👇👇👇