Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
PovuWatanzania ni wajinga. Nimepost picha za Nairobi lakini kwa sababu wana roho mbaya na wivu wanajifanya hawajaziona picha. Wajinga sana hawa watu. Kitu kama ni kizuri cha Kenya wananyamaza na kujifanya hawajaiona. Hata sitadebate tena kwenye uzi huu. Nimeelewa kwa nini Wakenya wengine wameipuuza uzi huu. Hapa hata Mkenya akipost jambo lolote nzuri la Kenya maumbwa yatapuuza tu. Adios. Hamutaniona kwenye uzi huu tena. Wivu na utoto sipendi. Eti mtu anatazama picha hizo zote kisha ananyamaza eti kwa sababu ni ya Kenya? Mimi picha ikiwa nzuri ya Tanzania huwa napongeza ila sipendi debate za aina hii ambayo unafiki, wivu na majungu ndio imewekwa mbele. Kila Mtanzania anajaribu kupuuza mazuri ya Kenya kila kitu ni kibaya. Yaani hakuna jambo lolote nzuri linalofanyika Kenya. Adios
sisi nye nye nye madaktari tunawalipa 😂😂😂😂 aisee hii dunia ya leo unasema neno sasa hvi dakika moja ushaumbuka😀😀Ile ingine umeamua kuachana nayo![]()
Thanks neighbour...Congrats neighbor, good project, well done

AisehMeantime loading.....just afew....wasije kimbia wote na kamgomo baridiView attachment 1585856View attachment 1585862View attachment 1585864View attachment 1585865View attachment 1585866View attachment 1585868View attachment 1585869]View attachment 1585871
Hapo Pata picha una 28flr BRT HQ
changomber flyover u/CAiseh
Hyo loading ni bomb moja hatari
1.Tanzanite Bridge U/C
2.BRT Phase 2 U/C
3.Morroco -Mwenge 6-8 lanes U/C
4.Kimara- Kibaha 8-10lanes U/C
5.SGR Bridge U/C
6.Gerezani Flyover U/c
7. Dar Port Expansion U/C
8.
Coming soon Next Year
1.BRT Phase 3 and More likely Phase 4
2. Msimbazi River Development Project ..I hope watanyanyua na jangwani lets see
3 .Changombe Flyover i think washaanza kujenga
4.Morroco Flyover on planning
5.Kamata Flyover on planning
6.Kigamboni Football Pitchs (Cash and Contract already)
7.Indoor Arena hii iko on plan
8.Kawe-Morroco road expansion to 2*2
na wangekamilisha 30 tu ingekua burudan kabisaHapo Pata picha una 28flr BRT HQ
All the best 😁😁😁😁Our farmers did not have access to international Markets
We have enough land to support tea farming
With this auction we can bring in Malawians producers too..
It's not about just being big.. it's about us supporting our farmers.. we will do cashew nuts, ground nuts, rice, maize, bananas, pinnaples, avocados, all kinds of veggies...
We are not competing with you guys .. we are simply looking out for our own. #Ujamaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu hii picha km ndio rangi yake kweli basi mmetisha



Watanzania ni wajinga. Nimepost picha za Nairobi lakini kwa sababu wana roho mbaya na wivu wanajifanya hawajaziona picha. Wajinga sana hawa watu. Kitu kama ni kizuri cha Kenya wananyamaza na kujifanya hawajaiona. Hata sitadebate tena kwenye uzi huu. Nimeelewa kwa nini Wakenya wengine wameipuuza uzi huu. Hapa hata Mkenya akipost jambo lolote nzuri la Kenya maumbwa yatapuuza tu. Adios. Hamutaniona kwenye uzi huu tena. Wivu na utoto sipendi. Eti mtu anatazama picha hizo zote kisha ananyamaza eti kwa sababu ni ya Kenya? Mimi picha ikiwa nzuri ya Tanzania huwa napongeza ila sipendi debate za aina hii ambayo unafiki, wivu na majungu ndio imewekwa mbele. Kila Mtanzania anajaribu kupuuza mazuri ya Kenya kila kitu ni kibaya. Yaani hakuna jambo lolote nzuri linalofanyika Kenya. Adios


hata Yesu Arudi...sisi hatuna jema na Kunyaland...Majizi na wakabila.Nashangaa watu wanajikomba kwao, kwanini tufake life? Me unafiki siwezi jamani 🙄🤣🤣🤣hata Yesu Arudi...sisi hatuna jema na Kunyaland...Majizi na wakabila.
Hakika hakika..tumepiga hatua kubwa sana...Tuna kila sababu ya kujipongeza.Hivi ndio vitu vinavyo wakera na kuwachukiza wakenya walio wengi kama sio wote TZ kuwa middle income( imewaumiza sanaaa),BRT(phase 1/2,wakati wao kuanza tu shughuli pevu), Tanzanite cable bridge,Nyerere cable bridge(kwao ni ndoto ya alinacha) Airport terminal 3,modern and advanced interchanges and flyovers, Mbezi na Dodoma bus terminal,Electric trains ( hata hazija fika ila joto liko juu),kimara kibaha highway 8-12 lines 19.2 itaongezwa 75 km(chalinze) , Dodoma express way 110km,Bomba la mafuta toka Uganda,Bwawa la nyerere hydro power 2115,kupanuliwa kwa ports za Dar,Tanga na Mtwara,kurudishwa kwa shirika la air Tz,LNG (30 bill)smelter,DMDP.....KWA HAYA MACHACHE KATI YA ENDLESS LIST NADHANI TUNAPASWA KUFRAI ATLIST NASI TUNASOGEA ...KWAIYO MAJIRANI TUVUMILIANE (MWENZIO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI).
Hatutaki wakimbie humu tunataka tuwagonge mpk maji waite mma maaamaaeeeNashangaa watu wanajikomba kwao, kwanini tufake life? Me unafiki siwezi jamani![]()


Ahsante sana Jirani!Congrats neighbor, good project, well done




