Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nawaza hapa SGR itakamilika tutaizoea,interchange tutazizoea ,highway tutazizoea nk nk nn kutakua goose bumps uko mbeleni?
Tutazoea..na tutahiatji more and more tutaanza kuona ni kawaida..

Mfano Terminal 3 Dar na Zanzibar ni kali so tutaziozea kuona za kawaida..so Msalato itakuwa kali zaidi .

Benjamin Mkapa Stadium ni ya kawaida sa hizi na tushaiozea ..60k watu wanajaza..So Our New National Stadium in dodoma utakuwa Bab kubwa with more than 80k seats..

SGR ikianza ku run..tutataka standard iwe SGR NK hii inasaidia kuongeza Chachu ya maendeleo....

In Next 5 yrs we are about to witness A major upgrade Rocket like...kuliko tuliyoiona miaka mitano iliyopita....cause serikali inafanyaga kazi zaidi awamu ya pili kuliko ya kwanza..

My Hope is that..Deal La LNG litakamilika, Deal la 1bn usd fertilizer plant litaisha, Reli ya Mtwara Mbamba Bay ..itaanza..hii itasaidia kukuza uchumi wa southern Regions -Lindi,Mtwara ,Ruvuma na Moro..upande huu hujapata stimulus mda mrefu...

Nategemea pia Iron mining itaaza Liganga..hizo ndo game changer..zitazoboost kipato cha watu miaka ijayo


Mwenyezi Mungu Atujalie Afya na Amani miaka inayokuja na uchaguzi huu tupite vizuri..tu enjoy mafanikio
 
Tutazoea..na tutahiatji more and more tutaanza kuona ni kawaida..

Mfano Terminal 3 Dar na Zanzibar ni kali so tutaziozea kuona za kawaida..so Msalato itakuwa kali zaidi .

Benjamin Mkapa Stadium ni ya kawaida sa hizi na tushaiozea ..60k watu wanajaza..So Our New National Stadium in dodoma utakuwa Bab kubwa with more than 80k seats..

SGR ikianza ku run..tutataka standard iwe SGR NK hii inasaidia kuongeza Chachu ya maendeleo....

In Next 5 yrs we are about to witness A major upgrade Rocket like...kuliko tuliyoiona miaka mitano iliyopita....cause serikali inafanyaga kazi zaidi awamu ya pili kuliko ya kwanza..

My Hope is that..Deal La LNG litakamilika, Deal la 1bn usd fertilizer plant litaisha, Reli ya Mtwara Mbamba Bay ..itaanza..hii itasaidia kukuza uchumi wa southern Regions -Lindi,Mtwara ,Ruvuma na Moro..upande huu hujapata stimulus mda mrefu...

Nategemea pia Iron mining itaaza Liganga..hizo ndo game changer..zitazoboost kipato cha watu miaka ijayo


Mwenyezi Mungu Atujalie Afya na Amani miaka inayokuja na uchaguzi huu tupite vizuri..tu enjoy mafanikio
Tuombe uzima
 
Tutazoea..na tutahiatji more and more tutaanza kuona ni kawaida..

Mfano Terminal 3 Dar na Zanzibar ni kali so tutaziozea kuona za kawaida..so Msalato itakuwa kali zaidi .

Benjamin Mkapa Stadium ni ya kawaida sa hizi na tushaiozea ..60k watu wanajaza..So Our New National Stadium in dodoma utakuwa Bab kubwa with more than 80k seats..

SGR ikianza ku run..tutataka standard iwe SGR NK hii inasaidia kuongeza Chachu ya maendeleo....

In Next 5 yrs we are about to witness A major upgrade Rocket like...kuliko tuliyoiona miaka mitano iliyopita....cause serikali inafanyaga kazi zaidi awamu ya pili kuliko ya kwanza..

My Hope is that..Deal La LNG litakamilika, Deal la 1bn usd fertilizer plant litaisha, Reli ya Mtwara Mbamba Bay ..itaanza..hii itasaidia kukuza uchumi wa southern Regions -Lindi,Mtwara ,Ruvuma na Moro..upande huu hujapata stimulus mda mrefu...

Nategemea pia Iron mining itaaza Liganga..hizo ndo game changer..zitazoboost kipato cha watu miaka ijayo


Mwenyezi Mungu Atujalie Afya na Amani miaka inayokuja na uchaguzi huu tupite vizuri..tu enjoy mafanikio
Wakenya hawapendi kusikia hz habari, wanasema eti cc ni wazee wa tuta tuta tuta... wakati mambo yanafanyika na tunazindua daily
 
Aiseh
Hyo loading ni bomb moja hatari
1.Tanzanite Bridge U/C
2.BRT Phase 2 U/C
3.Morroco -Mwenge 6-8 lanes U/C
4.Kimara- Kibaha 8-10lanes U/C
5.SGR Bridge U/C
6.Gerezani Flyover U/c
7. Dar Port Expansion U/C
8.


Coming soon Next Year
1.BRT Phase 3 and More likely Phase 4
2. Msimbazi River Development Project ..I hope watanyanyua na jangwani lets see
3 .Changombe Flyover i think washaanza kujenga
4.Morroco Flyover on planning
5.Kamata Flyover on planning
6.Kigamboni Football Pitchs (Cash and Contract already)
7.Indoor Arena hii iko on plan
8.Kawe-Morroco road expansion to 2*2
8lanes Kibaha- Chalinze 75km
 
Wakenya hawapendi kusikia hz habari, wanasema eti cc ni wazee wa tuta tuta tuta... wakati mambo yanafanyika na tunazindua daily
kikihboy ameshawapongeza. Mimi pia nimewapongeza. Kwani sisi sio Wakenya? Ninyi wenyewe ndio mliwafukuza Wakenya wengine katika uzi huu. Kwa hivyo mjilaumu wenyewe. Msilaumu Wakenya kwa kutelekeza uzi huu.
 
Aiseh
Hyo loading ni bomb moja hatari
1.Tanzanite Bridge U/C
2.BRT Phase 2 U/C
3.Morroco -Mwenge 6-8 lanes U/C
4.Kimara- Kibaha 8-10lanes U/C
5.SGR Bridge U/C
6.Gerezani Flyover U/c
7. Dar Port Expansion U/C
8.


Coming soon Next Year
1.BRT Phase 3 and More likely Phase 4
2. Msimbazi River Development Project ..I hope watanyanyua na jangwani lets see
3 .Changombe Flyover i think washaanza kujenga
4.Morroco Flyover on planning
5.Kamata Flyover on planning
6.Kigamboni Football Pitchs (Cash and Contract already)
7.Indoor Arena hii iko on plan
8.Kawe-Morroco road expansion to 2*2
Moto moja konki...
 
Nawaza hapa SGR itakamilika tutaizoea,interchange tutazizoea ,highway tutazizoea nk nk nn kutakua goose bumps uko mbeleni?
Nlikua naimagine pembezoni mwa msimbazi basin wangeweka njia ya watembea kwa miguu na baiskeli tu ili
1. Watu watembee na kufanya mazoezi/mashindano ya kukimbia kwa kujiachia huku wakifurahia mandhari
2. Njia ya baiskeli iwe pana ili kuweka fursa ya mashindano ya baiskeli bila bugdha ya magari au pikipiki. Kuwe na faini kubwa (e.g: TZS 100,000/=) iwapo mtu atapitisha chombo cha moto kama pikipiki, n.k. Na kusiwe na njia ya kutokea chombo cha moto once kinapoingia ili iwe rahisi kuwakamata
3. Njia zianze pugu sambamba na basin both sides zikaungane near current/old selander bridge
4. Pembezoni mwa hizo njia kuwe na vimbweta chini ya vivuli wanaochoka wapumzike
5. Kusiwe na vibiashara uchwara bali ziwe za kistaarabu. mfano: watu wanaouza maji watumie glass za taka laini na sio vichupa vya plastic. Wanaweza kuwa na glass za ujazo tofautitofauti na maji yawe kwenye chombo maalum ili kwamba pale unaponunua ndio unawekewa na kunywa hapohapo
6. bila kusahau vidustbins kama vile vya BRT
 
Back
Top Bottom