Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ahsante sana Jirani!

We are actually doing this for all of us in East Africa... Tunasogeza destination ya kuzamia...

Miaka kumi ijayo Vijana wenu wakitoroka mnakuja tu hapa kwa basi, mnawakuta .. sio mpaka waende Bondeni au Kwa Papa Trump ,,

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hata sasa hivi tunadhiirisha hilo .....Wakunya wanazamia sana Tz, boby.
 
Inaonekana unatoka familia fulani hivi chnganyikeni sana ambayo haina displine hata kidogo. Ulishaambiwa mara nyingi sana hili siyo jukwaa la siasa hivyo hatutaki mambo ya kisiasa hapa lakini kila mara unarudia kupost mambo ya kisiasa hapa jukwaani. Hii inaonyesha kabisa kwamba upo upo tu huna dira wala mwelekeo (not focused person). Badilika ndugu hata kama tayari una mvi za uzee kichwani!
Acha ujinga wewe ,fuatilia mlolongo wa posts,naowajibu ndio walileta siasa usipende kukurupuka kana kwamba kuna bwanako unataka kumfurahisha humu jukwaani.
 
kama hayupo sasa chuki ya nn kwa magufuli au alikuchukulia mke??😀😀 hili sio jukwaa la siasa kama una maumivu na siasa hapa sio pahala pake
Acha kiherehere sikukuita unikoti,nakujibu accordingly bila kujalisha utajichekesha mara ngapi.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha
Screenshot_20201001-092747_Instagram.jpg
 
Baadhi ya machizi wanaohojiwa hapa wanaonekana kama wamekipuliza.

Kweli mkuu. Jamaa wanaonekana hawapo sawa kabisa. Halafu mtangazaji bado anakomaa nao tu.

Sema hao Jamvi Tv, shots zao zamoto sana. Millard this time hajaweka drone shots.
 
Back
Top Bottom