Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa nchi ikiwa na industrial strikes ina maana mumewapiku ama GDP yao ni hafifu? this is a common occurrance ata in developed economies across the globe, KNH wanalalamika serikali haijatimiza makubaliano ya maktaba ya nyongeza ya mishahara πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ , and for your information nina hakika mishahara yao kwa sasa ni zaidi ya wale wenu, na bado wanalia liaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ you are too pedestrian in your argument, nilikuambia ukachukue application form ya Dodoma Uni then DM me ndakulipia karo, mambo ya uchumi uko ovyo, stick to your lane ya mapicha babyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unaletea Tz aibu.
inachekesha leo kuoma madaktari hawalipwi mishahara alaf munakaa munakunya humu eti sisi GDP kubwa sasa hio GDP yenye madeni asilimia 70% inasaidia nn πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

munawaza mambo makubwa wakat mambo madogo yanawatoa uharo

eti nakuandalia karo kwa pesa gani ulionayo ww πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ munachukulia kila mtu simple sana humu ndani
 
Sasa nchi ikiwa na industrial strikes ina maana mumewapiku ama GDP yao ni hafifu? this is a common occurrance ata in developed economies across the globe, KNH wanalalamika serikali haijatimiza makubaliano ya maktaba ya nyongeza ya mishahara πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ , and for your information nina hakika mishahara yao kwa sasa ni zaidi ya wale wenu, na bado wanalia liaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ you are too pedestrian in your argument, nilikuambia ukachukue application form ya Dodoma Uni then DM me ndakulipia karo, mambo ya uchumi uko ovyo, stick to your lane ya mapicha babyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unaletea Tz aibu.
mishahara zaidi lakini hawalipwi ndio cha ajabu sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimeskia kisumu imechukua loan to pay salaries ndio nchi imefika hapo πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Kenya: Cash Crunch Forces Kisumu to Take Sh400 Million Loan From KCB for Salaries
 
Sasa nchi ikiwa na industrial strikes ina maana mumewapiku ama GDP yao ni hafifu? this is a common occurrance ata in developed economies across the globe, KNH wanalalamika serikali haijatimiza makubaliano ya maktaba ya nyongeza ya mishahara πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ , and for your information nina hakika mishahara yao kwa sasa ni zaidi ya wale wenu, na bado wanalia liaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ you are too pedestrian in your argument, nilikuambia ukachukue application form ya Dodoma Uni then DM me ndakulipia karo, mambo ya uchumi uko ovyo, stick to your lane ya mapicha babyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unaletea Tz aibu.
habari kama hzi hamuzipendi najua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
panajielezaπŸ‘πŸ‘
9419823D-DE8E-4C88-977C-289F79ACA206.jpeg
 
Kageuza sehemu kadha za Dar, na kiasi nje, sio nchi., tuelewane kaka, kwa propaganda hauna mpinzani humu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
hakuna miaka tanzania imejengeka kama miaka 4 ya huyu jamaa najua inakuuma lakini ndio ukweli na huwez kubali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

wakenya wenzio wenye akili zao wanalijua hilo
 
Kasema TZ news online from skewed ccm data, na kama ni ukweli, in economics masikini hawezi kukua na deni kubwa, in most cases hawezi afford big loans, ndio maana nchi mingi zenye uchumi mkubwa their debt to GDP ratio ni kubwa kubwa, unajua ni kwa nini? think deep kakaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wacha nikusaidie, ukitaka kushika wana siasa na propaganda zao, just take your national budget and analyse all the needs presented, then check your annual revenue collection, utaona vile Tz haina sufficient vyanzo vya kutega uchumi to support your annual budget expenditure, leave alone ku finance the big infrastructure projects CCM inatumia ku campaign by lying to clueless Tanzanian kama wewe. Walikataa any other independent research body wasichapishe utafiti wao ila serikali pekee, balaa bro!
 
Kasema TZ news online from skewed ccm data, na kama ni ukweli, in economics masikini hawezi kukua na deni kubwa, in most cases hawezi afford big loans, ndio maana nchi mingi zenye uchumi mkubwa their debt to GDP ratio ni kubwa kubwa, unajua ni kwa nini? think deep kakaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wacha nikusaidie, ukitaka kushika wana siasa na propaganda zao, just take your national budget and analyse all the needs presented, then check your annual revenue collection, utaona vile Tz haina sufficient vyanzo vya kutega uchumi to support your annual budget expenditure, leave alone ku finance the big infrastructure projects CCM inatumia ku campaign by lying to clueless Tanzanian kama wewe. Walikataa any other independent research body wasichapishe utafiti wao ila serikali pekee, balaa bro!
hamuwez kubali nyinyi hata yesu ashuke sasa hvi πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hamuoni mazuri kwasababu ya chuki zenu na laana mlizoachiwa maendeleo yakifanyika CCM wabaya hahahahahhaa
 
I thought mombasa pamoto kumbe kumechakaa vibaya
tuusan hiyo ni sehemu tu, ni kama Dar nikiweka aerial view, 70-80% of the Km sq ni ovyo sana, na hapa uwezi pinga, only like 10-20% of the km sq ya Dar is well developed with modern infrastructure., which is around CBD and its environs, and in upper class suburbs, kwingine balaa. Mombasa nikiamua ku cherry pick pictures the way Ichoboy ana cherry pick za Dar utaona panapendeza., same with Dar., but tukiamua objective presentation, both are not yet there!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hamuwez kubali nyinyi hata yesu ashuke sasa hvi πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hamuoni mazuri kwasababu ya chuki zenu na laana mlizoachiwa maendeleo yakifanyika CCM wabaya hahahahahhaa
Kaka maendeleo yako, na ni obligation ya serikali kujenga miundo mbinu, mimi I can seperate propaganda from facts, one day try critical thinking before arguing, govts are even not supposed to campaign using what they are supposed to do(be it in Kenya or Tz), ni kama mzazi wako apige kifua eti kakuzaa kisha kakulisha na kukuvisha, hiyo ni kazi yake kwako, it is not a privilege it is an obligation! akishindwa ni makosa sana., what they are supposed kupigia kifua ni kama wametengeneza ama kuongeza uwekezaji, industries and job creation, kupunguza umasikini kwa kiwango cha juu n.k., haya mengine ni kazi yao na inawapasa kufanya.,
 
Wewe uko biased. Kwa hivyo kulingana na wewe dunia itairuhusu Egypt kubomb dam ya nchi nyingine lakini dunia hio hio itaikataza Ethiopia kutia sumu maji hayo? Huoni jinsi maoni yako yanakinzana? Egypt itaruhusiwa kufanyia nchi nyingine maovu ila Ethiopia itakatazwa??
Ndio sababu Ethiopia inatakiwa kupeleka malalamiko yake katika baraza la usuluhishi la UN kama haikubaliani na hizo International treaty zinazotambulika na UN badala ya kujiamulia kujenga bwawa na kutumia maji kwa lazima.

Mkataba wa kimataifa bado unaipa haki Egypt na Sudan kutumia maji ya mto Nile by 90%, na kuzizuia nchi zingine zote kutumia hayo maji bila kibali cha UN au kuruhusiwa na Egypt na Sudan.

Sasa unataka UN waunge mkono nchi ambayo tayari imekiuka mikataba ya kimataifa?. Ethiopia lazima ijifunze kuwa nchi yenye kufuata sheria za dunia, sio kutanguliza ubabe.

Tanzania pia tumeathiriwa na hiyo mikataba ya kikoloni ambayo imeipa Malawi umiliki kamili wa ziwa Nyasa, pamoja na kwamba tuna nguvu za kijeshi kushinda Malawi, lakini tunatumia njia za kistaarabu za kupeleka kilio chetu katika mabaraza ya usuluhishi, tumesimamisha shughuli zote ikiwemo ya kutafuta mafuta hadi uamuzi utakapotolewa.
 
sio madaktari tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


It has happened even more, especially during this covid season, hiyo ni passing clouds, mawingu yanayo pita, what is important we have proper systems in place, county govts are stabilizing, kukitulia tu kidogo we progress very fast., ndio maana world bank wakitoa report mnalia lia eti tunapika GDP na kuna facts to verify why Kenya is above Tz in GDP., na gap itaongezeka, wait tufungue uchumi kikamilifu uone vile manyangΓ‘u wanajituma, kwanza siku hizi vijana wengi mtaani hawataki kuandikwa kazi, wameanza kuona ni kama utumwa., self employment imeanza kuonekana as more fashionable and best. Amini usiamini.
 
Back
Top Bottom