Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania wenzako watakuattack ila upo sahihi. Nakubaliana nawe.
Hao ni wana ccm huwa nawapotezea wanatetea ugali wao,waambie wakaanzishe hizo mada zao kwenye majukwa yanayohusisha watz wengi uone kama watathubutu kwa sababu wanajua watapewa za uso huku wanajitutumua maana sio wabongo wengi wanapenda jukwaa hili.Hata saizi hawawezi kukuambia kwamba kampeni za Magu na nyimbo zake za sgr,stiglaz,flaiova sijui bomba zimebuma hutowasikia ilaukweli nao wanaujua kwamba Magu hawezi pita wala hakubaliki but anategemea tume na polisi.
Kila sehemu watu wanalia maisha magumu na wanamlaumu kwa kukurupukia miradi isiyo na tija kwa watu kwa pupa
 
Wakati mwengine huwa ninadhani kwamba haya ni mamba ya kawaida kila mtu anaelewa sihitaji kuwa very detailed kama ninafundisha darasani.

Actually sehemu nyeti zenye kugharimu pesa nyingi katika ujenzi wa dams ni hizo gates na sehemu za kufunga turbine za kuzalisha umeme, hizo kingo ni mchanga tu uliofanyiwa enforcement.

Hawawezi kujenga na Hakuna kampuni lolote litakalokua tayari kujenga tena kutokana na usalama wa wafanyakazi wao, tayari hilo eneo litakua limetangazwa kua ni target ya maambukizi ya kivita, Hakuna mtu atakayekuwa tayari kulikaribia, wakati wowote Cruse missiles inaweza kutua.
Nimekuambia Egypt haina cruise missiles lakini wewe huwa unapenda kuignore mambo kama hakubaliani nayo hata kama ni kweli. Egypt haina cruise missiles. Huo ndio ukweli na hauwezi badilika. Halafu unajichanganya sana. Mara unasema Egypt itafanya targetted striking ya gates kisha unasema kuwa Egypt watatumia cruise missile kubomb hio dam. Cruise missiles ni kombora ya masafa marefu inayorushwa angani na kuangukia eneo fulani in a vertical position. Yaani cruise missile italand vertically on top of that dam na itatumika tu kuvunja kingo (walls) ila haiwezi kutumika kuvunja gates. Egypt ikitaka kuvunja gates itabidi itumie jets ili kubomb hio dam in a horizontal strike. Jets tu ndizo zinazoweza kuvunja gates
 
umeme ni bidhaa inayohitajika kila siku,ukizidi mahitaji utauzwa nje.lakini sio kushauri eti usizalishwe.

unakuwa unafikiri kwa kutumia kitu gani labda!!!!!!
Umekurupuka kujibu au? nani kasema usizalishwe? nachosema uzalishwe kulingana na mahitaji ya medium term walau mgwwt 500 ila sio kuzalisha umeme ambao hautumiki ukae tu huku gharama za kuendesha zikiwa pale pale ,haya ni matumizi mabaya ya kodi za umma,yaani huku ni kutokujua ufanye nini kwa wakati gani ndio maana mumenunua ndege afu mumezipaki zimekuwa kama za kukodisha.Kwamba ndege za masafa marefu zinapiga route za ndani,hizi ndio akili zenu huko lumumba au?
 
Kaka mbona kila mtu ameshajiandaa kwa matumizi ya nguvu na Ethiopia anaendelea kujaza hilo bwawa?, njia pekee ya kuzuia Ethiopia kuendelea kujaza na kuilazimisha kurudi katika meza ya mazungumzo ni njia ya kijeshi.
Are Egypt and Ethiopia heading for a water war?

Bwawa litajazwa kwa hatua 6, hivyo bado nafasi ya mazungumzo ipo wazi. AU ndio wasuluhishi katika hili swala. Ishu hapo ni Ethiopia hataki kufuata matakwa ya Misri moja kwa moja, nae anataka apenyeze ajenda zake katika hayo makubaliano. Hivyo kadiri muda unavyokwenda watafikia muafaka tu mkuu. Hakuna vita hapo maana hata wakifumua hizo gates za bwawa hapo wataingia kwenye vita baridi. Ethiopia anaweza kuhujumu hicho chanzo cha maji ya mto na kivyovyote Misri ata athirika vibaya. Hapo inahitajika busara kubwa maana wote wako in a losing side kama watachukua hatua za kukurupuka na kuingia vitani. Ethiopia anaweza tupia chemical debris huko kwenye maji na show ikaisha bila hata kurusha risasi
 
Nimekuambia Egypt haina cruise missiles lakini wewe huwa unapenda kuignore mambo kama hakubaliani nayo hata kama ni kweli. Egypt haina cruise missiles. Huo ndio ukweli na hauwezi badilika. Halafu unajichanganya sana. Mara unasema Egypt itafanya targetted striking ya gates kisha unasema kuwa Egypt watatumia cruise missile kubomb hio dam. Cruise missiles ni kombora ya masafa marefu inayorushwa angani na kuangukia eneo fulani in a vertical position. Yaani cruise missile italand vertically on top of that dam na itatumika tu kuvunja kingo (walls) ila haiwezi kutumika kuvunja gates. Egypt ikitaka kuvunja gates itabidi itumie jets ili kubomb hio dam in a horizontal strike. Jets tu ndizo zinazoweza kuvunja gates
Tatizo lako wewe lipo hapo, unataka kila kitu nielezee kama nipo darasani ili uweze kuelewa, sio kwamba nina ignore baadhi ya vitu, huwa ninachukulia kwamba uwezo wako ni mzuri huitaji nianze kushuka chini nikuelezee kila kitu.

1)Egypt wanazo Scud -B, ballistics missiles zenye uwezo wa kutoka moja kwa moja Egypt kulipua hilo bwawa

2)Egypt wanazo submarines zenye uweze wa kubeba hizo ballistics missile na kutumia red see na kuikaribia Ethiopia.

3)Ballistics missile are the most powerful missiles next to Nuclear missiles, they course much more destruction than War plan bombers.

4)Ballistic missiles are more expensive and less accurate than planes, but have less risk of been shot down by air defence system

Kama Egypt wakitumia Ballistic missiles, destruction inaweza kuwa kubwa sana kiasi ambacho hiyo sehemu Ethiopia inaweza kushindwa kulifanyia repair siku zijazo.

Nilikuwekea hii link, ninahisi hukusoma hadi mwisho, soma utaona uwezo wa Egypt.
Will Ethiopia force Egypt to carry out the first strike of the African water wars?
 
Bwawa litajazwa kwa hatua 6, hivyo bado nafasi ya mazungumzo ipo wazi. AU ndio wasuluhishi katika hili swala. Ishu hapo ni Ethiopia hataki kufuata matakwa ya Misri moja kwa moja, nae anataka apenyeze ajenda zake katika hayo makubaliano. Hivyo kadiri muda unavyokwenda watafikia muafaka tu mkuu. Hakuna vita hapo maana hata wakifumua hizo gates za bwawa hapo wataingia kwenye vita baridi. Ethiopia anaweza kuhujumu hicho chanzo cha maji ya mto na kivyovyote Misri ata athirika vibaya. Hapo inahitajika busara kubwa maana wote wako in a losing side kama watachukua hatua za kukurupuka na kuingia vitani. Ethiopia anaweza tupia chemical debris huko kwenye maji na show ikaisha bila hata kurusha risasi
Sasa ndugu yangu, wewe unazungimzia ideal scenario", kila mtu angependa iwe hivyo unavyotaka wewe, nimekuwekea link inayoonyesha kwamba Hakuna makubaliano wala mazungumzo yanayoendelea kila mmoja anafanya apendavyo, bado unahisi kuna mazungumzo yanayoendelea?, tuwekee link tuone hayo mazungumzo ni nani msuluhishi?
 
Umekurupuka kujibu au? nani kasema usizalishwe? nachosema uzalishwe kulingana na mahitaji ya medium term walau mgwwt 500 ila sio kuzalisha umeme ambao hautumiki ukae tu huku gharama za kuendesha zikiwa pale pale ,haya ni matumizi mabaya ya kodi za umma,yaani huku ni kutokujua ufanye nini kwa wakati gani ndio maana mumenunua ndege afu mumezipaki zimekuwa kama za kukodisha.Kwamba ndege za masafa marefu zinapiga route za ndani,hizi ndio akili zenu huko lumumba au?

mkuu uliishawahi kuona umeme umekaa tu??wapi uliuona??

unafirikiri umeme ni mahindi hayo??au hata hujui nini unazungumzia aisee!!!,ndio sababu nikakwambia umeme ukizidi unauzwa sio nyanya hizo.
 
Nadhani Ethiopia watachagua kujaza hilo bwawa la maji kwa awamu kidogo kidogo zaidi ya muda wanaotaka kujaza kwa sasa ili kuto athiri sana mtiririko wa hayo maji ya mto Nile. Kwa hiyo kwa kufuata njia hiyo wote kwa pamoja Misri na Ethiopia wataepusha vita isiyo ya lazima.
Walishaamza siku mingi sana kufanya hivyo...hizi nyenye zinaendelea tuu..
 
Siidharau ila ninatumia taarifa tulizonazo kufanya analysis, situmii hisia au mapenzi yangu kama unavyotumia wewe.

Uwezo wa Kijeshi wa Egypt ni mara mbili wa jeshi la South Africa.ni zaidi ya mara kumi ya uwezo wa jeshi la Ethiopia in terms ya vifaa vya kisasa, mafunzo na budget, mwaka jana pekee Egypt bajeti yao ya jeshi ilikua $11B, wakati Ethiopia ni $380M.

Kila mwaka USA inaipatia Egypt $2B kuimarisha jeshi lao, chance ya kushinda hii Vita kwa Ethiopia ni 20%
Very true
 
😂 😂 😂 😂 Magu yupi huyu huyu ambae watu wamempuuza sasa ameomba msaada wa tume ya uchaguzi kumjibia hoja na tuhuma au kuna Magu mwingine? Unajaribu kuwaeleza wakenya ambao hawafuatilii siasa za bongo sio,Kaanzishe uzi jukwa la siasa kumsifia Magu tuone nani kabanwa makende.
nani kampuuza ndio kiboko yenu kakubana mpaka kende zimegusana 😂😂😂 manake huna hamu nae na bado kuna miaka mitano inakuja naomba ahakikishe mpaka mujambe cheche
 
Hao ni wana ccm huwa nawapotezea wanatetea ugali wao,waambie wakaanzishe hizo mada zao kwenye majukwa yanayohusisha watz wengi uone kama watathubutu kwa sababu wanajua watapewa za uso huku wanajitutumua maana sio wabongo wengi wanapenda jukwaa hili.Hata saizi hawawezi kukuambia kwamba kampeni za Magu na nyimbo zake za sgr,stiglaz,flaiova sijui bomba zimebuma hutowasikia ilaukweli nao wanaujua kwamba Magu hawezi pita wala hakubaliki but anategemea tume na polisi.
Kila sehemu watu wanalia maisha magumu na wanamlaumu kwa kukurupukia miradi isiyo na tija kwa watu kwa pupa
na ww mwana chadema hahah unaleta siasa kwneye maendeleo hapa ni ccm utake usitake mpaka dunia isimame
 
Umekurupuka kujibu au? nani kasema usizalishwe? nachosema uzalishwe kulingana na mahitaji ya medium term walau mgwwt 500 ila sio kuzalisha umeme ambao hautumiki ukae tu huku gharama za kuendesha zikiwa pale pale ,haya ni matumizi mabaya ya kodi za umma,yaani huku ni kutokujua ufanye nini kwa wakati gani ndio maana mumenunua ndege afu mumezipaki zimekuwa kama za kukodisha.Kwamba ndege za masafa marefu zinapiga route za ndani,hizi ndio akili zenu huko lumumba au?
so unataka tuekeze kidogokidogo pale rufiji na unajua cost ya kujenga part part ni very expensive na haina maana kwamba ikijengwa yote itawashwa yote siku moja uwe unatumia akili ya kuzaliwa tu its very simple na kuna impact kubwa sana ya kua na mixed source of power unaeza zima kwa muda hii na nyingine ikaendesha lakini point kubwa muhimu ni kushusha bei zaidi na hata kufanya bishara ya kuuza umeme nje its good idea

population ta tanzania inakua by 2% ambayo ni miongoni growth kubwa sana duniani na ukumbuke nchi inapiga hatua kiuchumi bado kuna mining industry nyingi sana zinahitaji umeme bado kuna vijiji vya kumalizia kuwapa umeme bado watu wanajenga kila leo wanahitaji umeme na bado viwanda vinajengwa vingi, mahoteli na kadhalika ww unaleta bangi zako za siasa na kuongea ushuzi tu kisa unachuki na ccm, bogus

na hata ukiangalia kuna maintenance itatokea itahitajika mitambo kuzimwa kufanyiwa marekebisho so utapeleka makalio yako yakafue umeme, ni vzr kua na umeme mwingi pia unaongeza tija kwa investors hasa ukiwa umeme wa bei ya chini ili ushindani uwe mzuri
 
Back
Top Bottom