Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee Kibaha ndio barabara pekee Tanzania ambayo imekaribia hadhi la Thika road. Leni nane za Kibaha ni za kupewa heshima ila hamna barabara lingine lenye leni nane huko TZ. Hio Dodoma ring road ina leni ngapi?

An equivalent of Kigoma port slipway










DFy_EGxWAAAOLDH


DbAYO_xW4AAoco6


DFy_Gv7XUAE4MUh


DbBCl3MXcAAlfmP
 
Nimeisoma. Dodoma outering itakuwa dual carriageway. Hio inamaana kuwa itakiwa na leni nne tu. Kenya tuna barabara nyingi ambazo ni dual carriageway. Hamna kitu special hapo. Yaani watanzania bado mnafurahishwa na leni nne? Wacheni ushamba jameni. Mnaaibisha watu wa Afrika Mashariki.
 
Nimeisoma. Dodoma outering itakuwa dual carriageway. Hio inamaana kuwa itakiwa na leni nne tu. Kenya tuna barabara nyingi ambazo ni dual carriageway. Hamna kitu special hapo. Yaani watanzania bado mnafurahishwa na leni nne? Wacheni ushamba jameni. Mnaaibisha watu wa Afrika Mashariki.
Hebu onesha hapa hao dual carriage way nyng unazosema ucfanye watu wehu humu.
 
Ndo mana tunasema tuko mbele cz hamuna hata 1cm ya BRT but cc highway tunayo hata km ni m5, ok onesha na hii km ipo kunyaland

Cc: Teargass angalia mwenzio kakubali uku ww unakwama wapi View attachment 1579574
Kwenye barabara tunawatoa. Yaani hio barabara ni ya kawaida sana hapa Kenya. Baki tu kwenye brt ila usije kwenye barabara ya kawaida ya bitumen kwani huko tumewashinda
 
Nimeisoma. Dodoma outering itakuwa dual carriageway. Hio inamaana kuwa itakiwa na leni nne tu. Kenya tuna barabara nyingi ambazo ni dual carriageway. Hamna kitu special hapo. Yaani watanzania bado mnafurahishwa na leni nne? Wacheni ushamba jameni. Mnaaibisha watu wa Afrika Mashariki.
Dual carriage with an option for a BRT at the centre! leta dual carriage ya 110 km Kunyland!
 
Hebu onesha hapa hao dual carriage way nyng unazosema ucfanye watu wehu humu.
Unadhani siwezi kuposti? Wacha kwanza nianze kuzitaja. Mombasa road ,outering road, western bypass, Eastern bypass, western bypass, Likoni road phase one, na kadhalika. Picha nitaleta nikipata muda
 
Kwenye barabara tunawatoa. Yaani hio barabara ni ya kawaida sana hapa Kenya. Baki tu kwenye brt ila usije kwenye barabara ya kawaida ya bitumen kwani huko tumewashinda
Ndo uoneshe ss wacha maneno, btw lengo langu halikuwa kukuonesha barabara bali kuna dude mbele kule linapatikana Tz tu ktk ukanda huu na nchi nyingi tu za kiafrika .
 
Unadhani siwezi kuposti? Wacha kwanza nianze kuzitaja. Mombasa road ,outering road, western bypass, Eastern bypass, western bypass, Likoni road phase one, na kadhalika. Picha nitaleta nikipata muda
Sawa leta picha mana kuna cku mwenzio nilimbananisha kwenye hii hoja akaishia kuiba picha ya Namibia
 
kwahiyo Tanzania haina dual carriages? Wacha ujinga najua unazodoka kwa kudhani kwanye highways mko mbele kumbe hamna chochote!


Kwenye highways sidhani kama kuna Mlazy anaweza pinga kuwa Kenya iko mbele. Yaani tukiongea tu ukweli tuweke battle kando.
 
Kwenye highways sidhani kama kuna Mlazy anaweza pinga kuwa Kenya iko mbele. Yaani tukiongea tu ukweli tuweke battle kando.

Which highways? If u mean this chinese first class,

where maji ya Bomba lililopasuka yamesomba "chinese first class" super highway !
















then no Tanzanian can argue u
 
Kwenye highways sidhani kama kuna Mlazy anaweza pinga kuwa Kenya iko mbele. Yaani tukiongea tu ukweli tuweke battle kando.
Inawezekana ikawa ni kweli kwamba mna highway ndefu kutuzd lkn hata kwetu highway ipo na inaongezwa urefu nadhani hapo baadae czan kuna nchi ukanda huu itakuwa na highway ndefu km Tz.
 
Back
Top Bottom