Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leta comparison ya Thika road Tanzania
19.2 Kimara-Kibaha Highway U/C over 80% n loading..





EaeKQqcXQAEDwR5


EaeKRXcWsAADjeq


EaeKSKRXYAMq12d


EaeKTJoWsAEwn_q


EZXj1DbWoAISYoK


EZXj1uAXgAEcK9S


EZu_r1bWoAISFCF


EZu_qt5WoAI595D



 
mkuu hawa jamaa walikuwa ni midomo sana.. na wanajua kujimarket balaa
to be honest, kbla ya hii thread nilijua kenya imeendelea kumbe ushuzi mtupu
Tanzania bado mko nyuma ya Kenya. Huo ndio ukweli wa Mungu. Hata nyinyi wenyewe mnajua
 
Sasa nyie maccm mnabishana na nani,,hii thread naona imekua useless badala ya kudiscuss issues zenu topic ni Kenya tu😂😂.Naomba muendelee ivo ivo kutupromote I see u guyz can't live a day without talking Kenya
 
Dodoma ring Highway U/C is 110 km!
Mzee Kibaha ndio barabara pekee Tanzania ambayo imekaribia hadhi la Thika road. Leni nane za Kibaha ni za kupewa heshima ila hamna barabara lingine lenye leni nane huko TZ. Hio Dodoma ring road ina leni ngapi?
 
Tanzania bado mko nyuma ya Kenya. Huo ndio ukweli wa Mungu. Hata nyinyi wenyewe mnajua
Ndo mana tukafungua hii thread ili mtuoneshe kwa macho tuone cz msibaki na historia au uongo mliotengeneza mitandaoni na kuongopea watoto wenu.
 
Ndo mana tukafungua hii thread ili mtuoneshe kwa macho tuone cz msibaki na historia au uongo mliotengeneza mitandaoni na kuongopea watoto wenu.
Huwa tukija kwenye battle ya posti niposti huwa mnatoroka kwa sababu Wakenya huwa wanaposti vitu hatari kuwashinda.
 
Mzee Kibaha ndio barabara pekee Tanzania ambayo imekaribia hadhi la Thika road. Leni nane za Kibaha ni za kupewa heshima ila hamna barabara lingine lenye leni nane huko TZ. Hio Dodoma ring road ina leni ngapi?
an equivalent of a Dodoma ring road?

an equivalent of Mwanza port slipway?

 
Back
Top Bottom