Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,913
- 103,781
Ni kweli 👇Mzee una ufahamu kuwa Kenya inajenga barabara ya kufa mtu sasa hivi tunavyozungumza? Barabara ambayo ni aina yake Afrika nzima? Barabara ambayo inapatikana US, Germany au Japan lakini sio Afrika? Unafahamu hilo? Barabara linaitwa Nairobi expressway. Bonge la barabara.

