Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee una ufahamu kuwa Kenya inajenga barabara ya kufa mtu sasa hivi tunavyozungumza? Barabara ambayo ni aina yake Afrika nzima? Barabara ambayo inapatikana US, Germany au Japan lakini sio Afrika? Unafahamu hilo? Barabara linaitwa Nairobi expressway. Bonge la barabara.
Ni kweli 👇
 
Mzee una ufahamu kuwa Kenya inajenga barabara ya kufa mtu sasa hivi tunavyozungumza? Barabara ambayo ni aina yake Afrika nzima? Barabara ambayo inapatikana US, Germany au Japan lakini sio Afrika? Unafahamu hilo? Barabara linaitwa Nairobi expressway. Bonge la barabara.
Kenya inajenga??!!!!!..acha uongo mungiki,huna uwezo wa ku-finance project kama hiyo
 
Hii marathon tayari tunajua ni Wakenya ndio watashinda kuanzia nambari moja hadi ishirini. Mlazy wa kwanza atakuwa nambari mia moja.
Kwani... Jirani huwa mnakimbilia wapi!? Life is easy take time to enjoy every bit of it all the time... wahenga walisema ..No hurry in Africa 🙂 they clearly knew "Haraka Haraka haina Baraka.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
kazi ilivokuw ngumu, naona UAP hapo nyuma wasije sema sio nairobi 😂😂👇👇
DFEDB62B-964B-4490-A203-8652EF1D0EC8.jpeg
 
Huwa najiuliza mpk kesho na sipati jibu, hivi Wakenya walitumia vigezo gani kusema wako mbele ya Tz kwa miundombinu mbn uchafu wa miundombinu uliojaa Nairobi siuoni Dar?

Ndo mana nasisitiza wakuu tuanze ku publish upya kunako mitandaoni cz Wakenya washakubali kwamba walikuwa wanajidanganya ss umefika muda mambo yawe hadharani ili foreigners hususan wazungu waondokane na ile dhana eti Kenya ni the most developed country in the region, huu ni uongo sn.

Tanzania is now more developed country than Kenya ktk mambo mengi na wenyewe Wakenya wameshakubali si mnaona hata Wakenya wa humu Jf cku hz wanakimbia nyuzi kwa kisingizio eti tunajisifia utoto lkn Wakenya hao hao utawakuta wamejazana kwenye nyuzi zinazoonesha kuwasifia japo kdg

mkuu hawa jamaa walikuwa ni midomo sana.. na wanajua kujimarket balaa
to be honest, kbla ya hii thread nilijua kenya imeendelea kumbe ushuzi mtupu
 
Mzee una ufahamu kuwa Kenya inajenga barabara ya kufa mtu sasa hivi tunavyozungumza? Barabara ambayo ni aina yake Afrika nzima? Barabara ambayo inapatikana US, Germany au Japan lakini sio Afrika? Unafahamu hilo? Barabara linaitwa Nairobi expressway. Bonge la barabara.

mkuu hawa jamaa walikuwa ni midomo sana.. na wanajua kujimarket balaa
to be honest, kbla ya hii thread nilijua kenya imeendelea kumbe ushuzi mtupu

mfano angalia text ya huyo jamaa alivyoongea
 
Back
Top Bottom